Rais Samia ameshindwa kutolea tamko matatizo ya Umeme na Maji yanalolikumba Taifa?

Rais Samia ameshindwa kutolea tamko matatizo ya Umeme na Maji yanalolikumba Taifa?

Ukimya sawa na pengine ana kazi nyingi ambazo kwalo huenda wasaidizi wake wanamjazia mafaili ili kumzubaisha na ili asitambue changamoto za hapa na pale ziwahusuzo Watanzania.

Lakini kwa changamoto ya umeme na maji inaloikumba Taifa kwa sasa si kitu kilichojificha na ni ukweli kwamba Samia anafahamu ila amechagua kuwa kimya kwa makusudi kabisa kwa sababu anazozijua yeye.

Jamani tupeni maji na umeme hayo mengine kama upigaji wa Bandari ya Bagamoyo endeleeni nayo wala hayupo wa kuwauliza.
Kilaza na Mvivu tu.
 
Niliwambia watu humu,

Kwa kipindi cha miezi minne Samia alifaidika na Muundo wa uongozi wa Hayati Magufuli. Baada ya kuanza kuset Muundo wake mambo yamebuma kabisa.
Na asivyo na mshipa wa aibu,anataka eti kugombea tena 2025.
 
Ukimya sawa na pengine ana kazi nyingi ambazo kwalo huenda wasaidizi wake wanamjazia mafaili ili kumzubaisha na ili asitambue changamoto za hapa na pale ziwahusuzo Watanzania.

Lakini kwa changamoto ya umeme na maji inaloikumba Taifa kwa sasa si kitu kilichojificha na ni ukweli kwamba Samia anafahamu ila amechagua kuwa kimya kwa makusudi kabisa kwa sababu anazozijua yeye.

Jamani tupeni maji na umeme hayo mengine kama upigaji wa Bandari ya Bagamoyo endeleeni nayo wala hayupo wa kuwauliza.
Tusitegemee maendeleo ya maana awamu hii.
 
Ok bc umeme na maji vimekushinda turudishie bei ya vifurushi vya zamani bc ata tupunguz machungu
 
Likaibuka neno Mwendazake badala ya Hayati Manyau yakashangilia kifo Cha Mpendwa wetu Leo Manyau japokuwa yanaona aibu kulinganisha utendaji kazi wake na Timu Msoga yamebaki nyuma ya keyboard kushangilia mambo yanayoendelea Sasa hata kama ni mabaya
 
Waziri mkuu si amesema invester waje kuna umeme wa uhakika sasa mnataka mama akaseme nini tena.
 
hii nchi tunapelekwa kama kondoo pori.
Yaaani mgao wa maji, inawezekana vipi
au ni mpango ili wauze maji yao
waziri wa maji wa nini sasa
 
Tukiambiwa tusitumie mikaa hatuelewi.
Tukiambiwa tupande miti hatuelewi.
Sasa tujipange
 
Back
Top Bottom