Mkuu ni watangulizi wake wote...!
Mkuu cheki picha hapo juu...Wala Mimi sijatumwa na mtu...Mimi ni mtu wa KAWAIDA Sana..Ila nashindwa kuamini ametumia uchawi gani? Kumbuka waliokuwa wanaondolewa Kisha wanarudi Ila now ni tofauti....wewe huko uliko Hali ikoje?January aliwezaje kutoa mifuko ya plastic? amekutuma uje umsifie hapa?
Subiri baada ya mwaka ndio useme kafanikiwa.Nipo jijini mwanza kiukweli mji unapendeza ...nimepita maeneo karibia yote makoroboi, nyasaka, nyamhongolo, buhongwa ...dah
Siamini machinga wote wamehama tena wenyewe kwa mikono Yao... wamebomoa wenyewe bila vurugu zozote.
Mama Samia amewezaje ilihali watangulizi wake wote walishindwa na walipojaribu lilikuwa ni bomu hatari Sana...#raissamiaisaluteyou
Hizi ni picha nilizopiga maeneo ya buhongwa ambapo lilikuwa ni eneo hatari Sana kuwaondoa machinga!
View attachment 2002214
View attachment 2002215
Kwa akili yako ilivyo fupi hao wamachinga vyuma vimelegea hela zimejaa mfukoni mwaoNipo jijini mwanza kiukweli mji unapendeza ...nimepita maeneo karibia yote makoroboi, nyasaka, nyamhongolo, buhongwa ...dah
Siamini machinga wote wamehama tena wenyewe kwa mikono Yao... wamebomoa wenyewe bila vurugu zozote.
Mama Samia amewezaje ilihali watangulizi wake wote walishindwa na walipojaribu lilikuwa ni bomu hatari Sana...#raissamiaisaluteyou
Hizi ni picha nilizopiga maeneo ya buhongwa ambapo lilikuwa ni eneo hatari Sana kuwaondoa machinga!
View attachment 2002214
View attachment 2002215
Kwani huwezi kujibu hoja bila kutukana? Ndo shida ya kuishi kwa mume wa dada yako!
Kwani kipindi cha kampeni kimeshapita? Wewe utakuwa mtoto uliyezaliwa mwaka 2005. Ulizia kuhusu machinga wa Congo na Ubungo Tanesco, ukielewa, edit mawazo yako.Mkuu cheki picha hapo juu...Wala Mimi sijatumwa na mtu...Mimi ni mtu wa KAWAIDA Sana..Ila nashindwa kuamini ametumia uchawi gani? Kumbuka waliokuwa wanaondolewa Kisha wanarudi Ila now ni tofauti....wewe huko uliko Hali ikoje?
Una mifano hai? Maana huku niliko wamehamia karibu na makazi ya watu...mfano soko la kiloleli,nyasaka nkBaada ya muda watarudi tena maana tatizo halijapata ufumbuzi wa kudumu.
Utapelekaje huduma za kijamii mbali na makazi ya watu.
Yaani mtu alipe elfu 1 kwenda kununua Ndizi za elfu 2. Kweli?!!
1.Mi nipo Buswelu kona. Wameondoa vibanda vya mboga mboga wamepeleka Wilayani.Una mifano hai? Maana huku niliko wamehamia karibu na makazi ya watu...mfano soko la kiloleli,nyasaka nk
wameacha uchafu hao jamaa HONGERA TELE KWA RAIS SAMIA MAMA NI MAMA ULIMI WAKE WA UPOLE NI DAWANipo jijini mwanza kiukweli mji unapendeza. Nimepita maeneo karibia yote makoroboi, nyasaka, nyamhongolo, buhongwa. Dah!
Siamini machinga wote wamehama tena wenyewe kwa mikono Yao, wamebomoa wenyewe bila vurugu zozote.
Mama Samia amewezaje ilihali watangulizi wake wote walishindwa na walipojaribu lilikuwa ni bomu hatari Sana...#raissamiaisaluteyou
Hizi ni picha nilizopiga maeneo ya buhongwa ambapo lilikuwa ni eneo hatari Sana kuwaondoa machinga!
View attachment 2002214
View attachment 2002215
Unatuonyesha Uchafu iliNipo jijini mwanza kiukweli mji unapendeza. Nimepita maeneo karibia yote makoroboi, nyasaka, nyamhongolo, buhongwa. Dah!
Siamini machinga wote wamehama tena wenyewe kwa mikono Yao, wamebomoa wenyewe bila vurugu zozote.
Mama Samia amewezaje ilihali watangulizi wake wote walishindwa na walipojaribu lilikuwa ni bomu hatari Sana...#raissamiaisaluteyou
Hizi ni picha nilizopiga maeneo ya buhongwa ambapo lilikuwa ni eneo hatari Sana kuwaondoa machinga!
View attachment 2002214
View attachment 2002215