Black Butterfly
Senior Member
- Aug 31, 2022
- 130
- 368
Rais Samia ameandika kupitia X
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.