Rais Samia amjibu Mtanzania aliyefanya Makala ya kuonesha ubora wa SGR na Vituo vyake

Rais Samia amjibu Mtanzania aliyefanya Makala ya kuonesha ubora wa SGR na Vituo vyake

Msinikumbushe ufunguzi wa MWENDO KASI. Niliamini kabisa kuwa muarubaini wa usafiri Dar umepatikana. Leo hii kila Mkazi wa Dar haelewi tumerogwa wapi? Siamini siamini siamini, hakika mpaka leo sina Jibu.
Oyaaa! Usinigusie ya kivuko cha Kigamboni. Haya, here we are.... Alamsik!
Mwendokasi ni morogoro road tu na kipande kidogo Cha kawawa,dar Ina barabara nyingi zaidi ya hizo,kipi kilikuaminisha shida ya usafiri itaisha kwa barabara moja?
 
"This is not Europe this is Tanzania", aache basi kuitaja Ulaya yenye railway network kila mahala + subways, na mipangilio kila mahala na maisha mazuri wa raia wake + miundombinu Bora.

Tuache kujisifiasifia, Bali tujikite kuongeza bidii na kutekeleza maana tuko nyuma ya muda saana na huko Ulaya tunakotaka kufananisha wako mbali sana na kasi sana.
Tupambane kuboresha miundombinu kila mahala na hizi railway network ziwe kila mahala.

Kumbe kulikuwa hakuna haja ya royal tour, hata hawa wangeweza tu kutusaidia Kwa gharama nafuu na uzalendo wao kwa Africa.

Ashukuliwe JPM kwa akili kubwa alizokuwa nazo na kuamua maamuzi magumu kujenga SGR na fikra za electrified train, na pia kuamua Stieggler ijengwe chapuchapu watu wapate uhakika wa umeme.
Hawa wengine wanataka kutembelea mbeleko ya JPM, naamini tusingepata zawadi ya JPM tungeendelea kuona hizi ni hadithi tu na kuishia kushangaa kwenye video huku wenye mamlaka wakiendelea kamchezo kao ka paka na panya.

Tuamke tufanye kazi kwa bidii, tuache na tukomeshe wizi, rushwa, matumizi ya hovyo ya Serikali, tupunguze ukubwa wa serikali nk.
Tuache kupenda kurelax na kujisifia kila hatua ilihali tuna hatua nyingi mara zaidi ya laki moja zimebaki.
 
Rais Samia ameandika kupitia X

Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.

Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.

Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
" God Willing they will all come to completion"

Mwisho wa kunukuu
 
Rais Samia ameandika kupitia X

Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.

Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.

Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Huyo mtoa clip kasahau kabisa kwamba tuna madeni makunwa sana yamejenga SGR...😆😆😆
 
"This is not Europe this is Tanzania", aache basi kuitaja Ulaya yenye railway network kila mahala + subways, na mipangilio kila mahala na maisha mazuri wa raia wake + miundombinu Bora.

Tuache kujisifiasifia, Bali tujikite kuongeza bidii na kutekeleza maana tuko nyuma ya muda saana na huko Ulaya tunakotaka kufananisha wako mbali sana na kasi sana.
Tupambane kuboresha miundombinu kila mahala na hizi railway network ziwe kila mahala.

Kumbe kulikuwa hakuna haja ya royal tour, hata hawa wangeweza tu kutusaidia Kwa gharama nafuu na uzalendo wao kwa Africa.

Ashukuliwe JPM kwa akili kubwa alizokuwa nazo na kuamua maamuzi magumu kujenga SGR na fikra za electrified train, na pia kuamua Stieggler ijengwe chapuchapu watu wapate uhakika wa umeme.
Hawa wengine wanataka kutembelea mbeleko ya JPM, naamini tusingepata zawadi ya JPM tungeendelea kuona hizi ni hadithi tu na kuishia kushangaa kwenye video huku wenye mamlaka wakiendelea kamchezo kao ka paka na panya.

Tuamke tufanye kazi kwa bidii, tuache na tukomeshe wizi, rushwa, matumizi ya hovyo ya Serikali, tupunguze ukubwa wa serikali nk.
Tuache kupenda kurelax na kujisifia kila hatua ilihali tuna hatua nyingi mara zaidi ya laki moja zimebaki.
Umeongea vizuri Mkuu.

Hongera kwa kuwa mzalendo, natamani kila mmoja wetu aishi na falsafa hii.
 
Mwendokasi ni morogoro road tu na kipande kidogo Cha kawawa,dar Ina barabara nyingi zaidi ya hizo,kipi kilikuaminisha shida ya usafiri itaisha kwa barabara moja?
Kuanzia kimara mwisho kuelekea kibamba siyo mwendokasi tena

Ova
 
I
Rais Samia ameandika kupitia X

Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.

Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.

Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Usiku katumwa ni mtu wa ikulu huko
 
Badru naye ana makelele mengi mno, ajifunze kutengeneza organised content, yaani ametumia kama dakika kadhaa kupiga makelele, nimemuona YouTube
 
Rais Samia ameandika kupitia X

Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.

Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.

Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Kilichonisikitisha sana tena sana ni level ya ujinga wa kumzuia kuchukua picha ndani. Mbona tukienda ulaya tunaruhusiwa kupiga picha??? Yaani ni ajabu eti hata kivuka cha Chato kile kipya kuna jamaa aliketa uzi humu alizuiwa kupiga picha yaani ni ajabu sana tena sana, hii documentary imenifanya nitoe machozi tena kwa jinsi Dkt Samia alivyojitoa na Dkt Magufuli. Nadhani kijana apewe nafasi ya kutengeneza documentary nyingine
 
Hebu ngoja tuone kwenye eneo ambalo huwa tunafeli sana tutafanyaje this time, USIMAMIZI
 
Chadema ndio wanakimbilia kukata tiketi wakati walikua wanauponda mradi,

Kama wanavyojazana kwenye ndege kule.
 
Back
Top Bottom