inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mwendokasi ni morogoro road tu na kipande kidogo Cha kawawa,dar Ina barabara nyingi zaidi ya hizo,kipi kilikuaminisha shida ya usafiri itaisha kwa barabara moja?Msinikumbushe ufunguzi wa MWENDO KASI. Niliamini kabisa kuwa muarubaini wa usafiri Dar umepatikana. Leo hii kila Mkazi wa Dar haelewi tumerogwa wapi? Siamini siamini siamini, hakika mpaka leo sina Jibu.
Oyaaa! Usinigusie ya kivuko cha Kigamboni. Haya, here we are.... Alamsik!
Unaliwa ww manzi..!!Ole wao nyumbu wapande kwenye SGR yetu
Swali mujarrab kabisa hili,Mwendokasi ni morogoro road tu na kipande kidogo Cha kawawa,dar Ina barabara nyingi zaidi ya hizo,kipi kilikuaminisha shida ya usafiri itaisha kwa barabara moja?
" God Willing they will all come to completion"Rais Samia ameandika kupitia X
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Huyo mtoa clip kasahau kabisa kwamba tuna madeni makunwa sana yamejenga SGR...😆😆😆Rais Samia ameandika kupitia X
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Umeongea vizuri Mkuu."This is not Europe this is Tanzania", aache basi kuitaja Ulaya yenye railway network kila mahala + subways, na mipangilio kila mahala na maisha mazuri wa raia wake + miundombinu Bora.
Tuache kujisifiasifia, Bali tujikite kuongeza bidii na kutekeleza maana tuko nyuma ya muda saana na huko Ulaya tunakotaka kufananisha wako mbali sana na kasi sana.
Tupambane kuboresha miundombinu kila mahala na hizi railway network ziwe kila mahala.
Kumbe kulikuwa hakuna haja ya royal tour, hata hawa wangeweza tu kutusaidia Kwa gharama nafuu na uzalendo wao kwa Africa.
Ashukuliwe JPM kwa akili kubwa alizokuwa nazo na kuamua maamuzi magumu kujenga SGR na fikra za electrified train, na pia kuamua Stieggler ijengwe chapuchapu watu wapate uhakika wa umeme.
Hawa wengine wanataka kutembelea mbeleko ya JPM, naamini tusingepata zawadi ya JPM tungeendelea kuona hizi ni hadithi tu na kuishia kushangaa kwenye video huku wenye mamlaka wakiendelea kamchezo kao ka paka na panya.
Tuamke tufanye kazi kwa bidii, tuache na tukomeshe wizi, rushwa, matumizi ya hovyo ya Serikali, tupunguze ukubwa wa serikali nk.
Tuache kupenda kurelax na kujisifia kila hatua ilihali tuna hatua nyingi mara zaidi ya laki moja zimebaki.
Hili limenishangaza pia.Eh!, imekuwa Mungu akipenda tena?
SGR ni kodi ya Watanzania iliyojengwa kwa maono ya viongozi wetu shupavu wakiongozwa na ilani safi ya CCM kwahiyo wana ruksa ya kupanda.Ole wao nyumbu wapande kwenye SGR yetu
😄Bundi ft Ngedere hii collabo yao itaiua sgr.
Au wazee wa mila hawakuzingatiwa?
Kuanzia kimara mwisho kuelekea kibamba siyo mwendokasi tenaMwendokasi ni morogoro road tu na kipande kidogo Cha kawawa,dar Ina barabara nyingi zaidi ya hizo,kipi kilikuaminisha shida ya usafiri itaisha kwa barabara moja?
Ficha upumbavu wako..!!Ole wao nyumbu wapande kwenye SGR yetu
Usiku katumwa ni mtu wa ikulu hukoRais Samia ameandika kupitia X
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Igeuke mara ngapi?Kama usimamizi ukiwa mbovu, sgr itageuka White Elephant
Kilichonisikitisha sana tena sana ni level ya ujinga wa kumzuia kuchukua picha ndani. Mbona tukienda ulaya tunaruhusiwa kupiga picha??? Yaani ni ajabu eti hata kivuka cha Chato kile kipya kuna jamaa aliketa uzi humu alizuiwa kupiga picha yaani ni ajabu sana tena sana, hii documentary imenifanya nitoe machozi tena kwa jinsi Dkt Samia alivyojitoa na Dkt Magufuli. Nadhani kijana apewe nafasi ya kutengeneza documentary nyingineRais Samia ameandika kupitia X
Asante Badru & Mika. Furahia safari yako na mashambani. Nina habari njema kwako. Ujenzi wa sehemu za Isaka-Mwanza & Tabora-Isaka unaendelea, na Mungu akipenda zote zitakamilika.
Badru ameonesha kiwango cha ujenzi wa Kituo ch Reli ya SGR cha Morogoro.
Ikumbukwe, Rais Samia anatarajiwa kuanza Ziara ya siku 5 Mkoani Morogoro kuanzia Agosti 2, 2024.
View attachment 3058977
View attachment 3058978
Binti haueleweki mara umponde raisi na serikali yake mara umkubaliOle wao nyumbu wapande kwenye SGR yetu