Rais Samia Ampa Pole Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Kufiwa na Kaka Yake

Rais Samia Ampa Pole Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa Kufiwa na Kaka Yake

Nina uncle wangu yupo ndani ya mfumo, ana watoto watano wote kila mtu ana jina lake la ubini. Hata yeye jina lake na ndugu zake akiwemo mama hayaendani japo ni watoto wa baba na mama mmoja. Yeye alianza akiwa na jina lake ila akabadili. Ni miongon mwa sababu pia kuna sababu nyingine.
NI yeye tu aliamua maamuzi yake binafsi ila sio lazima
 
Kweli mkuu, ukichunguza hata Paul Makonda na Mwigulu Nchemba utakuta kuna tofauti ya ubini wa majina na ndugu zao wa kuzaliwa.
Nimesoma mdogo wa Mwigulu anaitwa...Shabani Mkumbo, za uhakika hawa jamaa walikuwa na asili ya kurudia darasa la 7 kwa kutumia majina ya wanafunzi waliokimbia shule.

Hao wote Nchemba na Makonda sio majina yao ya kuzaliwa
 
Nina uncle wangu yupo ndani ya mfumo, ana watoto watano wote kila mtu ana jina lake la ubini. Hata yeye jina lake na ndugu zake akiwemo mama hayaendani japo ni watoto wa baba na mama mmoja. Yeye alianza akiwa na jina lake ila akabadili. Ni miongon mwa sababu pia kuna sababu nyingine.
Mambo ya kizamani sana hayo
 
Kwa hiyo ndio mmesema mama anampanga plan za kumuondoa hapo kwenye kiti Cha uwaziri mkuu?
 
Pole sana Kassim, pole sana wanafamilia wote. Kwa mwanadamu, hakuna kipindi kigumu kama kufiwa na mtu wako wa karibu.

Basi Mungu wetu, Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, awajalie moyo wa subira katika kuyapokea mapenzi ya Mungu.
 
Nina uncle wangu yupo ndani ya mfumo, ana watoto watano wote kila mtu ana jina lake la ubini. Hata yeye jina lake na ndugu zake akiwemo mama hayaendani japo ni watoto wa baba na mama mmoja. Yeye alianza akiwa na jina lake ila akabadili. Ni miongon mwa sababu pia kuna sababu nyingine.

Sio kweli, mbona akina mahiga majina yao hayakubadilika au akina Hassy Kitine etc
 
Back
Top Bottom