ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Pole sana Mh .Waziri mkuu kwa kumpoteza kaka yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI yeye tu aliamua maamuzi yake binafsi ila sio lazimaNina uncle wangu yupo ndani ya mfumo, ana watoto watano wote kila mtu ana jina lake la ubini. Hata yeye jina lake na ndugu zake akiwemo mama hayaendani japo ni watoto wa baba na mama mmoja. Yeye alianza akiwa na jina lake ila akabadili. Ni miongon mwa sababu pia kuna sababu nyingine.
Nimesoma mdogo wa Mwigulu anaitwa...Shabani Mkumbo, za uhakika hawa jamaa walikuwa na asili ya kurudia darasa la 7 kwa kutumia majina ya wanafunzi waliokimbia shule.Kweli mkuu, ukichunguza hata Paul Makonda na Mwigulu Nchemba utakuta kuna tofauti ya ubini wa majina na ndugu zao wa kuzaliwa.
Sijasema n lazima ila n sababu piaNI yeye tu aliamua maamuzi yake binafsi ila sio lazima
Mambo ya kizamani sana hayoNina uncle wangu yupo ndani ya mfumo, ana watoto watano wote kila mtu ana jina lake la ubini. Hata yeye jina lake na ndugu zake akiwemo mama hayaendani japo ni watoto wa baba na mama mmoja. Yeye alianza akiwa na jina lake ila akabadili. Ni miongon mwa sababu pia kuna sababu nyingine.
Ndio yalikuwepo na bado yapoMambo ya kizamani sana hayo
Watoto wa Wakurugenzi wa Usalama wanatumia majina ya Wazazi Wao itakuwa hawa wa Kawaida BwasheeNdio yalikuwepo na bado yapo
Sijui zaidi ya hilo nililoeleza maana yeye n mkubwa kuliko hivyo vyeo ulivyovitajaWatoto wa Wakurugenzi wa Usalama wanatumia majina ya Wazazi Wao itakuwa hawa wa Kawaida Bwashee
Mambo mengine ni Ushirikino tu
Wewe sasa unataka kualalisha wiziKweli mkuu, ukichunguza hata Paul Makonda na Mwigulu Nchemba utakuta kuna tofauti ya ubini wa majina na ndugu zao wa kuzaliwa.
Nina uncle wangu yupo ndani ya mfumo, ana watoto watano wote kila mtu ana jina lake la ubini. Hata yeye jina lake na ndugu zake akiwemo mama hayaendani japo ni watoto wa baba na mama mmoja. Yeye alianza akiwa na jina lake ila akabadili. Ni miongon mwa sababu pia kuna sababu nyingine.
Kweli mkuu, ukichunguza hata Paul Makonda na Mwigulu Nchemba utakuta kuna tofauti ya ubini wa majina na ndugu zao wa kuzaliwa.
Sio lazima iwe kwa woteSio kweli, mbona akina mahiga majina yao hayakubadilika au akina Hassy Kitine etc