Pre GE2025 Rais Samia ampa Sheikh wa Arusha Land Rover Discovery limsaidie kwenye shughuli za kidini. Hii si Rushwa kabisa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hongera zake huyo Shehe endapo kama msaada huu kweli umetolewa kwa Nia njema.

Lakini kwa jinsi uhalisia ilivyo na kwa jinsi ninavyofahamu tangu miaka mingi iliyopita, mathalani kuanzia miaka ya 1995, magari ya namna hiyo hapa nchini yalikuwa yakitolewa na hao watoaji wa magari kwa wale watu 'wavaa kaunda suti' ili waweze kuzitumia katika 'shughuli zao.' Na shughuli zao siku hizi zimepamba Moto hasa hapa nyumbani.
 
Yes,
hela ya umma inatumika hadharani kwa shekhe ambae pia ni mwananchi mlipa kodi. Tatizo liko wapi? au chuki binafsi tu gentleman. wakichangiwa unaowapenda haina Tatizo right?[emoji205]

Kutoka ulipo hadi milembe ni kama km ngapi mkuu
 
Wakuu,
gari mpya chapa ya Land Rover Discovery yenye Thamani ya Milioni 100
my observation
  1. Kwa sisi tunaojua thamani ya landrover mpya,hiyo sio bei ya gari mpya, ni bei ya used yenye hali nzuri。
  2. serikali yetu hainunui magari ya UK, tunanunua Japan, hivyo hiyo ni PR tuu Konda Boy kwa mamie!
  3. Gari itakuwa imetolewa na tajiri fulani kwa lengo la PR only。
  4. Konda Boy ndie RC wa kwanza kuvuta Range Sport,hapo anakula point 3 kuwajali Waislamu wa RChuga。
  5. Soon mtashihidia mkuu wa ma laingwanan akipatiwa landrover yake
P
 
Kanisa lipi??

..Kanisa la Kilutheri ambalo Freeman Mbowe alilichangia.

..pia amechangia Kanisa la Nabii Mwamposa.

..huu sio uchangiaji mzuri hata kama anachangia Wakristo na Waislamu.

..Serikali, na sio Raisi, ndio wachangie madhehebu ya kidini ktk miradi ya huduma za kijamii.

..pia kuwepo na fungu na utaratibu maalum wa serikali kuchangia madhehebu ya kidini na sio kuchangia bila utaratibu kama inavyofanyika sasa hivi.
 
Yes,
hela ya umma inatumika hadharani kwa shekhe ambae pia ni mwananchi mlipa kodi. Tatizo liko wapi? au chuki binafsi tu gentleman. wakichangiwa unaowapenda haina Tatizo right?🐒
I hope mtakuwa mnamfanyia service na kumuwekea wese

Ova
 
Yaani hii story kama siielewi vizuri vile, anasema:
1:"... Kwakuwa sina Hela ninaye Mungu.."
2: "...Nilimpigia Simu Mam Samia,akasema ,we Mtoto unawapenda sana viongozi wa Dini?
3:Kesho alipatikana Kijana akaleta Hela...
Hapo Hela ilitoka Kwa Kijana au Mama alimtuma Kijana alete hizo pesa?
Gari alininua nani?
 
I hope mtakuwa mnamfanyia service na kumuwekea wese

Ova
itakua kama lile tuliomchangia kibaraka ombaomba la Kimataifa tu gentleman ambalo halijulikani limenunuliwa ama laa, na ya mafuta sijui ataanza kuomba omba lini 🐒
 
itakua kama lile tuliomchangia kibaraka ombaomba la Kimataifa tu gentleman ambalo halijulikani limenunuliwa ama laa, na ya mafuta sijui ataanza kuomba omba lini 🐒
Ahh ok maana aside akalipaki tu

Ova
 
Kachomekewa mtu kamchukulia
Tu itakuwa kwa niaba ya maza

Ova
 
yaani shekhe wa jiji la Arusha apaki ndinga, kweli gentleman?🐒
Mufti mwenye alichukulia range kwa Lukosi alikuwa analalamika wese
We huyo sheh wa arusha labda wese awekewe lkn syo pesa ya mfukoni mwake

Ova
 
Mufti mwenye alichukulia range kwa Lukosi alikuwa analalamika wese
We huyo sheh wa arusha labda wese awekewe lkn syo pesa ya mfukoni mwake

Ova
Alhad Musa aliewahi kua shekhe wa mkoa wa Dar es salaam hadi leo ana v8 kwani anapata wap wese?

Infact,
nyakati hizi hadi mashekhe wa kata na vijiji wana mandinga ya maana gentleman huko vijijini..

ni kujipanga tu gentleman 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…