Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zanzibar ndivo ilivo miaka yote hata wakuu wa mikoa ya kule ni waislamu na ngazi zingine zote, sio upendeleo moja ya sababu watu wengi kule ni waislamu hivo ndio mana wapo wengi serikaliniAwamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Acha mawazo ya kizamani nchi hii haina diniAwamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Tunampenda Simon Nyakorro Sirro kwa sababu yy ndiye kakomesha ujambazi wa kutisha hapa nchini. Mengineyo ni mapungufu ya wana wa AfamTz huku polisi siro kazi ishamshimda anahangaika na zanzibar yani huyu 2025 amalize aondoke
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
mkuu waterloo sijaona michango yako humu siku nyingi toka awamu ile iliyodondokaHivi kumbe rais anaandikia left. Wanakuaga na akili haoo. Hongera kamishna awadh kwa uteuzi
Ni kweli hata polisi Saba kuuwa mwananchi ili wampore milioni 70 ni mapungufu ya kibinadamu...Tunampenda Simon Nyakorro Sirro kwa sababu yy ndiye kakomesha ujambazi wa kutisha hapa nchini. Mengineyo ni mapungufu ya wana wa Afam
Muulize NyakoroKapanda akapanda tena, hivi waliokuwa maboss wake afu hawajaonekana yeye ndio kaonekana, wanajisikiaje....
Slip of gunNi kweli hata polisi Saba kuuwa mwananchi ili wampore milioni 70 ni mapungufu ya kibinadamu...
Saa 100 watu wake yeye ni waislamu na wazanzibariRais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar...
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.....
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!View attachment 2104174
Haya hana....na anafanya kusudi (kukomeshea)Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Ataonaje aibu wakati ana special religious obligation ili aitimize kabla ya 2025?Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Wamesema anaitwa Awadhi huyo Hawadhi ni yupi Tena?Asilimia kubwa ya Askari Wa jeshi la polisi sio waadilifu wananyanyasa Sana raia Ila kwa huyo afande Hawadhi ni mchapakazi Na very humble guy anastahili hata kuwa IGP
Ndo anavyotaka kuinyoosha Tanganyika. Iwe kama Zanzibar.zanzibar ndivo ilivo miaka yote hata wakuu wa mikoa ya kule ni waislamu na ngazi zingine zote, sio upendeleo moja ya sababu watu wengi kule ni waislamu hivo ndio mana wapo wengi serikalini