wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Sirro kabla hajawa IGP unajua alikuaje?Asilimia kubwa ya Askari Wa jeshi la polisi sio waadilifu wananyanyasa Sana raia Ila kwa huyo afande Hawadhi ni mchapakazi Na very humble guy anastahili hata kuwa IGP