kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Usawa uwepoAcha kulalamika kinafiki,kwani waislamu hastahili kuwa viongozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usawa uwepoAcha kulalamika kinafiki,kwani waislamu hastahili kuwa viongozi?
Rais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar...
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.....
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!View attachment 2104174
Si tulikubariana nchi hii waislam hawajasoma ndio maana nafasi nyeti nyingi sana serikalini wamejaa wakristo?[emoji23][emoji23][emoji23]Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Waislam wengi hawapendi shule,wengi vilaza tu.......hawawezi tosha kwenye hizo nafasi[emoji3][emoji3][emoji3]Huyu bibi hadi 2025
Atajikuta amejaza wanawake, wazanzibar na waislam bila kujua..[emoji1787][emoji1787]
Huyu ndiye IGP ajayeRais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar...
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.....
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!View attachment 2104174
Mimi ni mkatoliki kindakindaki ila naona aibu kwa koment hii na nadhani humtendei haki rais .Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Teuzi za rais zinapitia vetting kibao? Ilikuwaje yule dada wa form four akateuliwa kuwa RAS, alafu baadae wakaja kushtuka baada ya watu kusema wakamtengua?Teuzi za rais zinapitia vetting kibao ikiwamo watu walioko kwenye mfumo ambao dini kwao sio kigezo cha msingi maana dini haina kanuni leo unaweza lala msabato kesho mke akikuboa ukaamka muanglikana sasa nchi haiendeshwi hivyo mwacheni mama afanye kazi na timu anayoiamini.
Watu wenye mavi kichwani kama wewe mnakera Sana kwa hiyo akateuliwa mkristo ni sawa , acheni uduni wa kijinga mtu anateuliwa kwa uwezo wake coz dini haifanyi kazi. Vijana mnakera sana na mambo ya udiniAwamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Mkuu kwani dini ni kigezo cha uteuzi? Pili, kwa Zanzibar tegemea asilimia kubwa ya wateule kuwa Waislamu.Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Takataka kama wewe mnatoka wapi Tanzania haina vichwa mavi kama nyie unataka ateuliwe baba yako sababu mkristo, acheni ujinga mnazalisha chuki za kipumbavu Rais haeteui mwenyewe kuna vetting inafanyika ambayo dini sio kigezo labda kama kuna operation maalumu ya usalamaHuyu bibi hadi 2025
Ata Tyjikuta amejaza wanawake, wazanzibar na waislam bila kujua..[emoji1787][emoji1787]
Sure majority kubwa ni waislam ila wakristo wapo but wanapewa nafasi za chini sana ambazo huwezi kuwaona wala kuwafikilia, inshort wamefichwa na kufichwa kwenyewe ni kwenye nafasi ambazo hawawezi kuonekana.zanzibar ndivo ilivo miaka yote hata wakuu wa mikoa ya kule ni waislamu na ngazi zingine zote, sio upendeleo moja ya sababu watu wengi kule ni waislamu hivo ndio mana wapo wengi serikalini
Hatuangalii dini wala kabila la mtu katika uteuzi wowote ule, mtu huangaliwa uwezo wake kielimu na uadilifu.Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Mama apandishe na wa Galatia (Kristu) pia, asipendelee upande Mmoja tuRais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar...
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.....
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!View attachment 2104174
Mama ameteua mtu makini sana.Namfahamu Awadhi nilifanya naye kazi pahali akiwa polisi nami idara nyingine.Awadhi ni mwadilifu,amejaa hekima,ana busara , subira na ni mkweli.Pia ijapo ni polisi, ni mnyenyekevu.Rais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar...
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.....
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!View attachment 2104174
Hulaumiki bwana Yesu alishawataja watu Kama nyinyiAwamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Kwani uislamu au Ukristo ni majina ya watu ?Mama apandishe na wa Galatia (Kristu) pia, asipendelee upande Mmoja tu
Wakanywe gongoMama apandishe na wa Galatia (Kristu) pia, asipendelee upande Mmoja tu
Ndivyo ulivyoambiwa Na mchungaji wako kanisani?Ataonaje aibu wakati ana special religious obligation ili aitimize kabla ya 2025?
Anapandisha vyeo malaika kuzimuJiwe hakuwa anapandisha vyeo wakati vipo kisheria.