Udugu Feki
Senior Member
- Dec 23, 2019
- 182
- 153
Utakufa bure kwa kujitesaSaa 100 watu wake yeye ni waislamu na wazanzibari
Akiteua mgalatia jua ametumika kama bosheni kuficha udini na uzanzibari wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakufa bure kwa kujitesaSaa 100 watu wake yeye ni waislamu na wazanzibari
Akiteua mgalatia jua ametumika kama bosheni kuficha udini na uzanzibari wake
Na bado naona utakufa siku si zakoWaislam wengi hawapendi shule,wengi vilaza tu.......hawawezi tosha kwenye hizo nafasi[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio maana JPM alikua anawachagua wa kanda ya ziwa tu
Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
3ustadhi jamarMuulize maza ako mkuu
Wewe Bwege,huko ni Zanzibar,Wanazareti ni wachache sana,hakuna cha ajabu hapo.Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Hatuwataki huku bara3ustadhi jamar
Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Nimeuliza kwa nia njema tuMuulize maza ako mkuu
SawaNimeuliza kwa nia njema tu
Kila mja kazaliwa na bahati yake!Rais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar.
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!
View attachment 2105032
Kanywe sumu!Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
Hawa wateule wa Samia ni professors, PHD holders. Kawapata wapi?Waislam wengi hawapendi shule,wengi vilaza tu.......hawawezi tosha kwenye hizo nafasi[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio maana JPM alikua anawachagua wa kanda ya ziwa tu
Awadhi si Mzenji.Ila tupunguze maneno. Huyu aliyeteuliwa ni Mzenji, na bahati imemdondokea kapata huo uteuzi. Je mlitaka mama amlete m-Bara akaongoze Polisi visiwani?
Mimi ni mkristu msema kweli,Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu
SahihiMimi ni mkristu msema kweli,
ukianza kulinganisha Kati ya waislamu na wakristu katika nafasi mbalimbali ktk Idara za Serikali basi utabaini kuwa wakristu ni wengi zaidi kuliko waislamu.
fanya utafiti kwenye nafasi za uwaziri, manaibu, Majaji, Wasajili, watendaji mbalimbali, n.k n.k nafasi hizo zime hodhiwa zaidi na wakristu kwa miongo mingi sana, na ndugu zetu waislamu wamekuwa kimya, sasa inapo tokea na wao kuteuliwa kwa sifa na weledi tuache chuki maana nchi hii ni yetu sote hakuna mwenye haki zaidi ya mwengine, jambo la msingi ni Sifa na weledi,.
Binafsi huwa naamini zaidi kwenye UWIANO katika nafasi za Serikali kuliko kundi la watu wa aina moja kuhodhi kila nafasi, Tukitaka kujenga Taifa lenye nguvu na Imara hatuna budi kuzingatia UWIANO katika kila nafasi za Serikali, tuache kabisa tabia za kizamani, mambo yamebadilika sana, endapo tutaendelea na mfumo wa kizamani matokeo yake watu wa dini moja wanajisahau na kudhani kuwa wao ndio wanahaki zaidi ya kulijenga Taifa kuliko wengine!! Taifa letu litajengwa na sisi sote, Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
Taifa lenye nguvu na Imara litajengwa na watanzania wote wa dini zote.
tuwe waungwana kama walivyo wenzetu.