Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Hata mm nimeshindwa kuelewa imekaaje katoka Direct ACP to CP
Mwenye mamlaka anapomtaka mtu fulani anafanya chochote anachotaka.
Wapo hata TPDF Generals ambao wamewahi kupandishwa cheo kwa mseleleko (kutoka ngazi ya chini ya General kuwa full General bila kupitia vyeo vyote) na kisha kuteuliwa kuwa CDF!