Tupeni takwimu za Wateule wote aliofanya Mama kama tukikuta Waislam wanafika 40% tushirikiane kumchana kwa Udini?
Au tupeni makadirio yenu tujue Waislam hawatakiwi kuzidi % ngapi kwa mujibu wa takwimu elekezi zenu kupunguza malalamiko?
Au tupeni makadirio yenu tujue Waislam hawatakiwi kuzidi % ngapi kwa mujibu wa takwimu elekezi zenu kupunguza malalamiko?
Awamu hii waislamu wanakula kuku kwa mrija,kuanzia mawaziri mpaka mapolisi.
Siku ya leo tu kafanya teuzi tatu,na wote ni waislamu.sijui haoni hata aibu