Huyu awadhi ni kiongozi wa Wala Rushwa Jeshi la polisi.Rais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar.
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!
View attachment 2105032
Kosa gani?Hulioni kosa lako?
Umemtukana Kamishna wa PolisiKosa gani?
Ametoa wasifu wake hajamtukanaUmemtukana Kamishna wa Polisi
Sukuma gang mnarejea kwa kasi sana ππ πππAcha mawazo ya kizamani nchi hii haina dini
Kumwita mlinzi wa Raia na Mali zao Kibaka ni tusi kubwa sanaAmetoa wasifu wake hajamtukana
Kama ana sifa hiyo si tusi.Kumwita mlinzi wa Raia na Mali zao Kibaka ni tusi kubwa sana
Baadhi Ya Wanaopata Mserereko Wa Vyeo Wanakuwa Na Utendaji Duni, Dhoofu Usio Na Tija, Kama Unavyomuona HapoRais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar.
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!
View attachment 2105032
Alisemeje MkuuKumwita mlinzi wa Raia na Mali zao Kibaka ni tusi kubwa sana
πππππRais wa jamhuri ya Muungano Samia Suluhu amempandisha cheo ACP Awadhi Juma kuwa kamishina na pia amempandisha tena na kuwa kamishina wa polisi Zanzibar.
Jamaa ameula kweli kweli maana amepandishwa mara mbili.
Hakika mama anaendelea kuupiga mwingi!
View attachment 2105032