Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Rais Samia Suluhu amesema wasifu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi unatosheleza kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ukurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Nafasi hiyo iko wazi baada ya Mkurugenzi Mteule Dkt. Faustine Ndugulile kufariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 27 Novemba, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu. Zaidi soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia

Pia soma
- Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Your browser is not able to display this video.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.Ambapo amempa baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.
 
I smell the Rat.
 
Mungu anawaona.
Kama Magufuli, kama Ndugulile.
 
Marehemu Ndungulile alipendekezwa na nani?
 
KAZI ZA JUMUHIA ZA KIMATAIFA NI TRAP TU KWA WAAFRICA HIZO JUMUHIA SIYO ZETU TUNATUMIKA KAMA PAPETI TU...KUFANIKISHA AJENDA ZA MABEBERU KUTUTAWALA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…