Vizuri, why sasa hivi tunateua kwanini watu wasijitokeze Serikali iwape sapoti kama ilivyo utaratibu?
..Ni kwasababu suala zima limeingiliwa na wanasiasa / Mama Samia.
..Mama Samia anataka kulifanya suala hili ni la kwake, badala ya kuwa la mgombea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri, why sasa hivi tunateua kwanini watu wasijitokeze Serikali iwape sapoti kama ilivyo utaratibu?
Huu sasa ni upuuzi!Acha roho mbaya mkuu penda nchi yako.
Exactly, well said. Kwa Prof. Janabi naona kama tumepigwa. Hiyo nafasi inahitaji vijana weledi wenye uwezo wa kukimbia huku na kule, na aweza ku-balance na political i.e azijue na siasa za Ukanda wa Africa as well. Dr. Ndungulile alifit katika hili.Huyu mwenye mipete ya ya Shekhe Yahaya Hussein hapiti hata first round niko paleeee!
Niweke wazi sababu zangu binafsi za kumsagia kunguni:
1.
KweKuongoza mtaa tu umeshindwa anaanzaje kumfurahia anaegmbea kuongoza bara zima.
Usiwapangie watu maneno ya kuandika, Kama mtu ameandika na hajatukana wewe unapata shida wapi ?
Hayo mambo ya nyoko inaonekana hujiheshimu hata huko unako ishi.
Kwetu Nyoko maana yake bibi! Je kwenu bibi ni tusi? Kwako Tafsiri ya tusi ni Nini?Usiwapangie watu maneno ya kuandika, Kama mtu ameandika na hajatukana wewe unapata shida wapi ?
Hayo mambo ya nyoko inaonekana hujiheshimu hata huko unako ishi.
Kabisa, linazima ndoto za wengine wote waliokuwa na nia ya kuomba...Ni kwasababu suala zima limeingiliwa na wanasiasa / Mama Samia.
..Mama Samia anataka kulifanya suala hili ni la kwake, badala ya kuwa la mgombea.
In the first place, it was his own initiative.Marehemu Ndungulile alipendekezwa na nani?