Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Vizuri, why sasa hivi tunateua kwanini watu wasijitokeze Serikali iwape sapoti kama ilivyo utaratibu?

..Ni kwasababu suala zima limeingiliwa na wanasiasa / Mama Samia.

..Mama Samia anataka kulifanya suala hili ni la kwake, badala ya kuwa la mgombea.
 
Huyu mwenye mipete ya ya Shekhe Yahaya Hussein hapiti hata first round niko paleeee!
Niweke wazi sababu zangu binafsi za kumsagia kunguni:
1.
Exactly, well said. Kwa Prof. Janabi naona kama tumepigwa. Hiyo nafasi inahitaji vijana weledi wenye uwezo wa kukimbia huku na kule, na aweza ku-balance na political i.e azijue na siasa za Ukanda wa Africa as well. Dr. Ndungulile alifit katika hili.

Kwa Prof. Janabi, kwanza is aged, physical appearance yake health wise wenzetu wanaweza wakadhani ana……. Prof. Janabi kwa majukumu aliokua nayo sasa hivi nafikili angeendelea nayo na kumsaidia mama katika ushauri wa mambo ya afya, lakini kwenda globally sidhani kama inaleta mantik, ATAKOSA!!!
 
Kuongoza mtaa tu umeshindwa anaanzaje kumfurahia anaegmbea kuongoza bara zima.
Kwe
Usiwapangie watu maneno ya kuandika, Kama mtu ameandika na hajatukana wewe unapata shida wapi ?

Hayo mambo ya nyoko inaonekana hujiheshimu hata huko unako ishi.

Usiwapangie watu maneno ya kuandika, Kama mtu ameandika na hajatukana wewe unapata shida wapi ?

Hayo mambo ya nyoko inaonekana hujiheshimu hata huko unako ishi.
Kwetu Nyoko maana yake bibi! Je kwenu bibi ni tusi? Kwako Tafsiri ya tusi ni Nini?
Ujinga ukivumiliwa sana unaweza kuwa sehemu ya maisha na watu wakawa wajinga wote Kwa sababu ya kuamini na kufuata maneno ya kijinga. Dhana ya strong language ni kusupress ujinga usitamalaki!
 
..Ni kwasababu suala zima limeingiliwa na wanasiasa / Mama Samia.

..Mama Samia anataka kulifanya suala hili ni la kwake, badala ya kuwa la mgombea.
Kabisa, linazima ndoto za wengine wote waliokuwa na nia ya kuomba.
 
Prof Janabi anakitu, ila wachache labda kwa kutokujua wanaweza wasimwelewe. Wengi watu maaeufu kwenye mitandao hawajiineshilakini inawezekana hata majumbani mwao wanawataalam wa Tiba lishe/asilia kwani ndio asili ya mwanadamu na Tiba yake haiachi chemicali za simu mwilini.

Hapa Mh Raisi anastahili pongezi kwa kuliona hili.
Ikiwezekana kianzishwe/vianzishwe vituo vya Tiba lishe/ asilia vya serikali kabisa ambayo vitatoa Tiba hio kwani wengi huishindwa kwasababu ya ugumu wa maandalizi ya Tiba hizo.

Tutakubaliana hapo zamani akionekana mtu anatembeza unga wa mbegu za komamanga, au mlonge, au mbegu za parachichi ilikuwa ningumu kueleweka. Tujiulize kwanini hivi Leo Tiba hizi hukubalika kwa Kasi? Jibu ni rahisi kuwa watu wengi wameshaona matokea kwa lishe hizi asilia.

Kibaya nikuwa kunawimbi limeingia kwa kigezo Cha kibiashara, wakulima wanahamasishwa kungoa miti ya matunda asilia na kupanda mimea isiyo asili GMOs.

Je tuthamini fedha kuliko afya na uhai wetu? Fedha zitamsaidia nani? Tunamikakati gani ya kuilinda mimea yetu asilia pale tunapoikata/ng'oa na kupanda mimea ya kisasa?

Shida ya magonjwa yasiyoambikizwa kama cancer zaidi ni kwa nchi za vipato vya chini, least developed countries . Labda nikwasababu ya mfumo duni wa ulaji(zaidi wanga) hapa ni wali, ugali, akijitahidi chips, migogo.

Miili inatengeneza sumu, seli za mwili zinabadilka kutoka uhalisia wake matokeo ni cancer, kisukari,magonjwa ya moyo.

Tiba lishe hizi zikikubaliwa na kutiliwa maanani ni Imani kuwa idadi ya wagonjwa ocean road nakwingineko itapungua.
 
Back
Top Bottom