Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Rais Samia ampendekeza Profesa Janabi kuwa Mkurugenzi wa WHO-Afrika

Janabi amefanya kazi Marekani kabla ya kurudishwa nchini enzi za JK ambapo aliwarudisha diasporas wengi wamsaidie baadhi ya sekta. Pia amesoma na kufanya kazi nchi kama Japan na ulaya kwa muda mrefu.

Exposure gani unazungumzia mkuu.
Huyo jamaa kuna tetesi aliweka mkono wake juu ya JPM ndio maana CDF aliyepita wakaamua kumhamishia Mzena, Je ni kweli? Kwanini hachunguzwi? asije akafika huko halafu siri zikavujishwa akaabika akiwa kwenye majukumu ya kimataifa.
Kwanini rais asimame hadharani kumpendekeza mtu wakati nafasi inataka kushindanishwa ? Kuna machapisho gani yapo WHO ambayo wakiyarejerea itathibitika anawazidi wengi kadhaa?

Huu ni upendeleo wa wazi kwa kada wa CCM
 
Kujitoa tu kwenye jumuhiya za kipumbavu...mfano mahskama za kibiashara zinazotumia na mafisadi ya kizungu kutufisadi kuwa tumeshindwa kesi tulipe mabilioni
 
Public image yake ni too controversial. He seems to be out of touch with the life realities of the majority of people surrounding him. Constantly publicity seeking, even though he knows nobody gives a shit about his ridiculous opinions., He won't make it. Huyu ni religious fanatic. HIS VIEWS ARE TOO EXTREME. Hafai kabisa.
 
Huko nako atakwenda kuwafundisha watu wasile ugali?...
 
Kumbe huwezi pata kazi hizi bila mapendekezo ya serikali yako? Mbona sasa Mwele Malecela propaganda ilipigwa ati Magufuli alimfukuza kwa kuwa alitangaza ugonjwa flani nchini, halafu wazungu wakampa kazi ya UN. Aliipataje kazi hiyo pasina Magufuli kumpendekeza?
 
..Mkurugenzi wa UN-WHO Africa ni mama toka Botswana anaitwa Dr.Matshidiso Moeti.

..Jambo la kwanza tunatakiwa tukausome wasifu / CV ya Dr.Moeti.

..baada ya hapo tutafute Mtanzania mwenye CV au vigezo vinavyofanana, au kumzidi Dr.Moeti.

..mgombea wa Tanzania anapaswa abebwe na CV yake, sio ushawishi wa Tanzania au Raisi wetu.
Mwashambwa anadhani ni kama walivyoiba uchaguzi au kutumia TPF, hiyo ni international institution Haina blaa blaa ATI mama ametufikia ya nyoko! Address her as a president achana na mambo ya social attachment kwenye uongozi unahitaji Haki na wajibu na sio prevelege!
 
Naomba kujua Dr Ndugulile alipendekezwa na nani kugombea hiyo nafasi?
 
Naomba kujua Dr Ndugulile alipendekezwa na nani kugombea hiyo nafasi?

..Ndugulile hakupendekezwa.

..aliona hiyo nafasi akajitathmini kwamba anatosha, akaomba serikali imuunge mkono.

..kwa nafasi hiyo mgombea lazima aungwe mkono na serikali ya nchi anakotokea.
 
6b1eadce187741af8935d4b6042a5ff6.jpg
6b1eadce187741af8935d4b6042a5ff6.jpg
 
Kwani yeye mwenyewe si daktari, kwa nini asijipendekeze aende mwenyewe kwenye nafasi hyo halafu hii awaachie wengine
 
Kuongoza mtaa tu umeshindwa anaanzaje kumfurahia anaegmbea kuongoza bara zima.
Wewe unaongoza nini Mkuu? Sayar ya jupiter au site tupo hapa hapa katika aridhi ya Tanganyika?
 
Professor naona anateseka huko Instagram, anapost ma cv na Nini...... Nimeshakunywa saivi, ingekuwa sio hivyo ningeweka hapa.... Yaani ana bonge la cv plus amesoma tropical health na Nini..... 🤣🤣😂 Hiyo tropical health sijui ni Nini.... Nahisi ni hizi homa in tropical areas???? Au
 
..Ndugulile hakupendekezwa.

..aliona hiyo nafasi akajitathmini kwamba anatosha, akaomba serikali imuunge mkono.

..kwa nafasi hiyo mgombea lazima aungwe mkono na serikali ya nchi anakotokea.
Vizuri, why sasa hivi tunateua kwanini watu wasijitokeze Serikali iwape sapoti kama ilivyo utaratibu?
 
Mwashambwa anadhani ni kama walivyoiba uchaguzi au kutumia TPF, hiyo ni international institution Haina blaa blaa ATI mama ametufikia ya nyoko! Address her as a president achana na mambo ya social attachment kwenye uongozi unahitaji Haki na wajibu na sio prevelege!
Usiwapangie watu maneno ya kuandika, Kama mtu ameandika na hajatukana wewe unapata shida wapi ?

Hayo mambo ya nyoko inaonekana hujiheshimu hata huko unako ishi.
 
Back
Top Bottom