Msudu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2021
- 1,050
- 1,705
Ukiipenda wewe inatosha MkuuAcha roho mbaya mkuu panda nchi yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiipenda wewe inatosha MkuuAcha roho mbaya mkuu panda nchi yako.
Labda amejiridha kuwa nafasi ipo wazi Rais ni taasisi kubwa ina vyombo vingi vya kupata habariWhat if WHO wasipofanya uchaguzi? Ameshasoma katiba yao inasemaje pale mteuliwa anapofariki kabla ya kuanza kazi? Je, wakipendekeza aliyeshika namba 2 ndiye aapishwe?
Kama wakina nani? ili tulinganishe kama tumepigwa au laaNa huu ndio upumabvu wa TZ, kuendesha kila kitu kisiasa.
Janabi anaweza kuwa mzuri kitaaluma lakini sidhani ana exposure ya kuweza kuweka ushindani kimataifa. Angemuacha hapa hapa aendelee kutengeneza contents za memes tu kuhusiana na vyakula.
Nina hakika kuna wasomi wengi TZ wenye exposure, weledi na competence ya kuweza kushika nafasi ya Ndungulile.
Unaandika haya ukiwa ni daktari au mtanzania tu wa kawaida?Na huu ndio upumabvu wa TZ, kuendesha kila kitu kisiasa.
Janabi anaweza kuwa mzuri kitaaluma lakini sidhani ana exposure ya kuweza kuweka ushindani kimataifa. Angemuacha hapa hapa aendelee kutengeneza contents za memes tu kuhusiana na vyakula.
Nina hakika kuna wasomi wengi TZ wenye exposure, weledi na competence ya kuweza kushika nafasi ya Ndungulile.
Acha kuharibu Uzi wa watuNdugu zangu Watanzania,
Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amempata baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.
Kua raisi kakurupuka kwenye hilo kuliko wewe?😆😄What if WHO wasipofanya uchaguzi? Ameshasoma katiba yao inasemaje pale mteuliwa anapofariki kabla ya kuanza kazi? Je, wakipendekeza aliyeshika namba 2 ndiye aapishwe?
Wamekufa wangapi?,hadi sasa?Kila anayempendekeza wanakufa ngoja tuone na huyu.
RIP Mzee Ally Kibao
Safi sana mama Samia.Rais Samia Suluhu amesema wasifu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi unatosheleza kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ukurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Nafasi hiyo iko wazi baada ya Mkurugenzi Mteule Dkt. Faustine Ndugulile kufariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 27 Novemba, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu. Zaidi soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Pia soma
- Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
View attachment 3173647
WHO wenyewe wanasemaje?Rais Samia Suluhu amesema wasifu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi unatosheleza kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ukurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Nafasi hiyo iko wazi baada ya Mkurugenzi Mteule Dkt. Faustine Ndugulile kufariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 27 Novemba, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu. Zaidi soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Pia soma
- Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
View attachment 3173647
Wakati utazungumza. Tutajua mbivu na mbichi.Kua raisi kakurupuka kwenye hilo kuliko wewe?😆😄
Swali zuri la kuijuliza hiloWhat if WHO wasipofanya uchaguzi? Ameshasoma katiba yao inasemaje pale mteuliwa anapofariki kabla ya kuanza kazi? Je, wakipendekeza aliyeshika namba 2 ndiye aapishwe?
Sijaona ububujikwe na machozi bwana LucaNdugu zangu Watanzania,
Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amempata baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.
Hiyo nafasi sio tuu inahitaji Mtaalamu Bali mtu mwenye weledi wa Kisiasa na Kiongozi.Rais Samia Suluhu amesema wasifu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi unatosheleza kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ukurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Nafasi hiyo iko wazi baada ya Mkurugenzi Mteule Dkt. Faustine Ndugulile kufariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 27 Novemba, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu. Zaidi soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Pia soma
- Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
View attachment 3173647
Huko hakuna TAMISEMI na msimamizi wa uchaguzi siyo Mchengerwa. Wasubiri za usoRais Samia Suluhu amesema wasifu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi unatosheleza kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ukurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika. Nafasi hiyo iko wazi baada ya Mkurugenzi Mteule Dkt. Faustine Ndugulile kufariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 27 Novemba, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu. Zaidi soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Pia soma
- Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
View attachment 3173647
Mkuu unajua kuwa hata kama mtu ni makini/muhimu/anayejielewa kiasi gani ukimsifia kwa chochote unampotezea hiyo thamani yake? Kuna watu wanadharauliwa kwa sababu yako. Mimi ningekuwa mwanasiasa ningekupiga bani kunitaja kwa lolote.Ndugu zangu Watanzania,
Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amempata baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.
Mkuu naandika Kila siku hapa! Jukwaa limevamiwa na BRN products ambazo hazijui Nini maana ya great thinkers. Tuna safari ngumu kama taifa hasa kipindi hikiJUMUHIA ndio kitu gani?!