kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Akiondoka hapo Muhimbili labda gharama zitashuka. Naomba upate hiyo nafasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atabaki kua mshauri mkuu wa masuala ya afya nchiniAkiondoka hapo Muhimbili labda gharama zitashuka. Naomba upate hiyo nafasi.
Sina ndugu mjinga kama wewe hata kwenye ukoo wetu sidhani kama atatokeaNdugu zangu Watanzania,
Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amempata baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.
Kwani na wewe ni mtanzania? Maana hatuna Watanzania wajinga jinga aina yako.Sina ndugu mjinga kama wewe hata kwenye ukoo wetu sidhani kama atatokea
Mimi ni Mtanzania halisi sio mlamba makalio kama wewe. Hapa unatamani ingekua ni wewe umewahi kuipata hii habari uandike gazeti ambalo halina dira kisa tu suggestion ya Rais!Kwani na wewe ni mtanzania? Maana hatuna Watanzania wajinga jinga aina yako.
Na udini unasaidia piaJanabi mganga wake sio tapeli
Kwahiyo?KAZI ZA JUMUHIA ZA KIMATAIFA NI TRAP TU KWA WAAFRICA HIZO JUMUHIA SIYO ZETU TUNATUMIKA KAMA PAPETI TU...KUFANIKISHA AJENDA ZA MABEBERU KUTUTAWALA
January ni tapeli na wala siyo kweliJanuary Makamba
Janabi naona anafit siyo mbaya snNilisema kama utani hapa "nileteeni Janabiii".
Mama kasikia.
JUMUHIA ndio kitu gani?!KAZI ZA JUMUHIA ZA KIMATAIFA NI TRAP TU KWA WAAFRICA HIZO JUMUHIA SIYO ZETU TUNATUMIKA KAMA PAPETI TU...KUFANIKISHA AJENDA ZA MABEBERU KUTUTAWALA
Na hapati lile zali halirudi mara mbiliNdugu zangu Watanzania,
Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amempata baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.
Wewe lini utapatiwa kitengo uache kusumbua humu?Ndugu zangu Watanzania,
Rasmi Profesa Mohammedi Janabi amepewa baraka na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amempata baraka za kugombea ukurugenzi wa WHO kwa niaba ya Tanzania kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt Faustine Ndugulile aliyefariki Dunia huko India.