Rais Samia 'ampiga' Spika Ndugai

16 December 2021
Abu Dhabi, UAE

FEDHA ZAIDI ZA KUKAMILISHA MRADI MZIMA WA UJENZI WA RELI MPYA SGR ZASAKWA

Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba na ujumbe wake wapo Abu Dhabi UAE kusaka fedha za kugharamia miundo mbinu ikiwemo michepuko ya mtandao wa reli mpya SGR kama kipande cha Tabora Kigoma n.k ( Source ITV Tanzania news)
Pia waziri huyo wa fedha wa Tanzania alifika katika Kasri ya Al Watan (Qasr Al Watan) na kuwasilisha Salaam kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kwenda kwa mwana wa mfalme wa Abu Dhabi His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan aliye pia naibu amiri jeshi mkuu wa majeshi (Crown Prince of Abu Dhabi and Deputy Supreme Commander of the Armed Forces).




His Highness Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan, Crown Prince of Abu Dhabi and Deputy Supreme Commander of the Armed Forces, received a written message from Her Excellency Samia Suluhu Hassan, President of Tanzania, regarding the development of relations between the two countries.
The message was received by His Highness Sheikh Mansour bin Zayed Al Nahyan, Deputy Prime Minister and Minister of Presidential Affairs, when His Highness received today at Qasr Al Watan His Excellency Mwigulu Nchemba, Minister of Finance and Planning of Tanzania.
During the meeting between His Highness and the Tanzanian delegation, they discussed the friendly relations between the UAE and Tanzania, development opportunities, economic partnership and enhancing trade exchange between the two countries .

Source : Mohamed bin Zayed receives Tanzanian President's note
 
..DENI LA TAIFA ni mjadala endelevu ktk mataifa mengi.

..Na sio ajabu wanachama wa chama kimoja kutofautiana kimsimamo kuhusu ukubwa au udongo wa deni la taifa.

..hata kwa Wamarekani fedha za mpango wa uchumi wa Raisi Joe Biden zimekwama kupitishwa kwasababu ya msimamo wa Senator mmoja wa chama chake.

..Yaani bila kura ya huyo Senator pesa haitoki kwasababu Democrats hawana masenator wa kutosha kupitisha huo mpango.

..Wanasiasa wa Tz wajifunze kutofautiana bila kujengeana UADUI.
 
Ndungai angelalamika hivi enzi za JPM sijui ingekuwaje. Ila nimeshangaa kwenye uwekaji huo wa jiwe la msingi hakuwepo na shghuli imefanyika mkoani kwake.
 
USD 30m walizolipwa wahindi kwa madai ya kusimamia mifumo TANESCO na pesa kwa Blair hazina uhusiano na hiyo miradi.
Ni Bora kuliko Magu alituibia Trillion 1.5 mpaka leo hatujui iko wapi
 
Ndu"gay Ni mnafiki mmoja wakupuuzwa
 
Magufuli alikopa zaidi ya trillion 30 peke yake ndani ya miaka 5 tu, lakin Huyo Ndugai hakuongea kitu. Lakin huyu mama amekopa trillion 1.3 Ndugai anapiga kelele kila mahali!
Ndugai Ni team sukuma gang, dawa mama apige chini masalia yote ya magufuli
 
Ndugai ni Spika Ndugu...

Bungeni ndio mahali Sukuma Gang wananguvu... umeona mama yenu alivopanic leo...

Na Subirini bunge lazima hii serikali ikwame
Nadhani wewe Ni mtoto wa Juzi!

Hii sio hile ccm ya mazuzu na washamba, ngojeni tutawatia adabu kenge nyinyi!
 
Ndugai apumzike sasa kutawala miaka 20 pale kijijini kongwa na bado wagogo wanakula ubuyu inatosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…