Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
You've got a good reaction.Mama kumsaidia kuhami Musa Kwan kosa liko wapi?
Simba na ,Yanga anavozisaidi mbona hamsemi?
Lazima awasaidie wpiga kura wake!
Ilikuwa ni maigizo ya tapeli yale. Ni jengo la mtu lile..(mtu yulee mwenye saccos yake).Mbona juzi tulishuhudia ufunguzi pale "ostabei"/oysterbay?
Ungekuwa wewe ungefanza nini?Cheap Cheap....Popularity....!!! Mwaka wa Uchaguzi !!!
Noma kinomanoma.Ilikuwa ni maigizo ya kisiasa yale. Ni jengo la mtu lile..(mtu yulee mwenye saccos yake).
Nyaraka zote za jengo like ni zake.
Kila neno/jambo/tukio la muheshimiwa ni HABARI!Hivi hawezi kutoa michango bila umma kujua ? Maana haimletei sifa njema kabisa.
Unju ibn Unuq.Dini na Serikali 🤏
Lissu ni roho mbaya na wehu ndio unamsumbua. Kwani yeye akiwa Rais atakuwa HATOI misaada kwa raia wake? Mbona yeye kila siku analialia achangiwe? Hiyo ndio roho mbaya na wehu!Lissu akikemea anaoitwa mropokoji.
you don't think like politicians!,Hivi hawezi kutoa michango bila umma kujua ? Maana haimletei sifa njema kabisa.
Naam mkuu!Unju ibn Unuq.
Elimu na Afya sio kipaumbele cha serikali ya ccmTapanya hela wakati wajawazito wanakufa kukosa 150,000 hospitali za serilaki, shule kama hiyo hapa pichani
View attachment 3189705
Ni namna ya kuishi na watu.Usichukie mkuu.Huku upumbavu ulianzishwa na machawa wa jiwe. Kila kwenye hadhara ya watu anapiga simu kuchukua point 3 muhimu za wajinga na wapumbavu.
Nachukia kuwa Mwafrika
Nachukia sana kuwa Mtanzania
Unateseka na mbowe ukiwa wapi mkuu nafikiri uko lupaa chunya au mulongo isenyi bila shaka pole sana na hata bando huwa ni shida kwako kwenye jamvii hili unaingia mwaka mara mojaWaitoe wapi ofisi? Pesa yote anaipiga huyo wanayemuita mwamba wa utafunaji fedha.
2020 form zilikuwa zaidi ya moja?Kodi zetu zinatumika kiboya sana. Mwaka huu lazima form zaidi ya moja zihusike,
Ibada zinaendeshwa na simu za watumishi zikiwa on!! Ibada za miaka hii zina mambousiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.