Pre GE2025 Rais Samia ampigia simu Kuhani Mussa na kumuahidi mchango wa Tsh. Milioni 100 ujenzi wa kanisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waitoe wapi ofisi? Pesa yote anaipiga huyo wanayemuita mwamba wa utafunaji fedha.
Unateseka na mbowe ukiwa wapi mkuu nafikiri uko lupaa chunya au mulongo isenyi bila shaka pole sana na hata bando huwa ni shida kwako kwenye jamvii hili unaingia mwaka mara moja
 
Ibada zinaendeshwa na simu za watumishi zikiwa on!! Ibada za miaka hii zina mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…