Pre GE2025 Rais Samia ampigia simu Kuhani Mussa na kumuahidi mchango wa Tsh. Milioni 100 ujenzi wa kanisa!

Pre GE2025 Rais Samia ampigia simu Kuhani Mussa na kumuahidi mchango wa Tsh. Milioni 100 ujenzi wa kanisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimegundua hawa manabii wa uongo ni wapiga dili na ccm/serikali ili kuwapumbaza watu na hii ni kutoka dini zote na madhehebu yote ndiyo maana kila anayeingia madarakani yupo nao sambamba.
Hilo halifanyiki kwa bahati mbaya bali ni mipango inayoratibiwa na vyombo vyetu kwa lengo la kuibeba ccm itawale milele na tena siyo huko tu hata kwenye michezo mipango ni hiyo hiyo sema wananchi wenyewe ndiyo hivyo hatujitambui.
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
Acha ujinga rushwa kuchangia Ujenzi wa kanisa
 
Hivi hawa watu wote huwa wanalipwa kwenda huko? Enyi watu wa dar naomba kufaham. Maana kila kuhani/nabii/Mchungaji anajaza tu.

Kuna umuhimu wa kuhamia dar na kuw mchungaji.
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
downloadfile-2.jpg
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696

2 Wafalme 16:11-12
Naye Uria kuhani akajenga madhabahu; sawasawa na yote aliyomletea mfalme Ahazi kutoka Dameski; ndivyo alivyoifanya Uria kuhani iwe tayari atakaporudi mfalme Ahazi kutoka Dameski.

Na mfalme aliporudi kutoka Dameski, mfalme akaiona ile madhabahu; mfalme akakaribia madhabahuni, na kutoa sadaka juu yake.


Ufunuo 5:10​

ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
2 Wafalme 16
11 Naye Uria kuhani akajenga madhabahu; sawasawa na yote aliyomletea mfalme Ahazi kutoka Dameski; ndivyo alivyoifanya Uria kuhani iwe tayari atakaporudi mfalme Ahazi kutoka Dameski.

12 Na mfalme aliporudi kutoka Dameski, mfalme akaiona ile madhabahu; mfalme akakaribia madhabahuni, na kutoa sadaka juu yake.
 
Uchaguzi huo 2025, kipindi cha mavuno.
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
Hii sio rushwa kweli
 
Back
Top Bottom