Pre GE2025 Rais Samia ampigia simu Kuhani Mussa na kumuahidi mchango wa Tsh. Milioni 100 ujenzi wa kanisa!

Pre GE2025 Rais Samia ampigia simu Kuhani Mussa na kumuahidi mchango wa Tsh. Milioni 100 ujenzi wa kanisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
hata Sweden,Denmark ...developed world for that matter, wapo, lakini hawana kutapanya hela hii kama anavyofaya huyu mama

Pia nchi hizo hutoa ruzuku kwa mashirika ya kidini. Lakini kwa utaratibu uliowekwa rasmi
 
Unateseka na mbowe ukiwa wapi mkuu nafikiri uko lupaa chunya au mulongo isenyi bila shaka pole sana na hata bando huwa ni shida kwako kwenye jamvii hili unaingia mwaka mara moja
Weka hapa nyaraka za jengo lile lililofaniwa maigizo kuwa linazinduliwa. Kama jina la jengo siyo la tapeli wa Machame nipigwe ban
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
Wewe hutaki achangie Kanisa wakati waumini na Mchungaji wameomba? Akili zingine ni shida sana!!
 
Weka hapa nyaraka za jengo lile lililofaniwa maigizo kuwa linazinduliwa. Kama jina la jengo siyo la tapeli wa Machame nipigwe ban
Wewe nani mpaka utake nyaraka za chama kisichokuhusu umesoma lakini unakopi akili za vijiwe vya kahawa mbowe siyo saizi yako unadhubutu nini wakati hata balozi wako hakujui uko mbali mno pole yako
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
Kuna jamaa mwisho anashangilia kama mbwa anabweka.
Hakika nimecheka aiseee.
 
Wewe nani mpaka utake nyaraka za chama kisichokuhusu umesoma lakini unakopi akili za vijiwe vya kahawa mbowe siyo saizi yako unadhubutu nini wakati hata balozi wako hakujui uko mbali mno pole yako
Wewe ni zaidi ya chawa wa Mbowe, kama siyo hawara yake basi utakuwa mkewe.
 
Weka hapa nyaraka za jengo lile lililofaniwa maigizo kuwa linazinduliwa. Kama jina la jengo siyo la tapeli wa Machame nipigwe ban
Wewe nani mpaka utake nyaraka za chama kisichokuhusu umesoma lakini unakopi akili za vijiwe vya kahawa mbowe siyo saizi yako unadhubutu nini wakati hata balozi wako hakujui uko mbali mno pole yako
Wewe ni zaidi ya chawa wa Mbowe, kama siyo hawara yake basi utakuwa mkewe.
Wewe umesoma lakini huna akili hili jukwaa la wasomi na kushangaa sana mbowe namweshimu kwakuwa ni kiongozi anayeongoza taasisi kubwa hapa Tanzania duniani inamtambua nawaheshimu viongozi wote hata mwenyekiti wa vicoba nawaheshimu siyo wewe unamdhihaki mtu ambaye hata nusu ya robo yake hutakaa uyafike jitambuwe mipasho kama hizo wenzako walisha hama huko
 
Dini na wanasiasa wao lao moja kuendelea kutawala wajinga.

Both they feed on ignorance,watawala wanatumia wahubiri kupumbaza waumini wao,huku wahubiri wakivuna pesa na ulizi kutoka kwa watawala and the circle continues.
 
Wewe umesoma lakini huna akili hili jukwaa la wasomi na kushangaa sana mbowe namweshimu kwakuwa ni kiongozi anayeongoza taasisi kubwa hapa Tanzania duniani inamtambua nawaheshimu viongozi wote hata mwenyekiti wa vicoba nawaheshimu siyo wewe unamdhihaki mtu ambaye hata nusu ya robo yake hutakaa uyafike jitambuwe mipasho kama hizo wenzako walisha hama huko
Acha mastori, wewe kama siyo chawa basi utakuwa hawara/mke wa Mbowe.
 
A
Lissu akikemea anaoitwa mropokoji.
Akemee uku mwenyewe mpenda vya bule kuchangisha pesa watu ili yeye amiliki gari tena la kifahari kila mtu anatamani kumiliki gari japo paso yeye anatamani mshangingi na pesa ana!! LISU KIMEO uyo usimtaje. Domo kubwa.
 
A

Akemee uku mwenyewe mpenda vya bule kuchangisha pesa watu ili yeye amiliki gari tena la kifahari kila mtu anatamani kumiliki gari japo paso yeye anatamani mshangingi na pesa ana!! LISU KIMEO uyo usimtaje. Domo kubwa.
Chawa!
 
Acha mastori, wewe kama siyo chawa basi utakuwa hawara/mke wa Mbowe.
Wewe nakuambia tena umesoma lakini huna akili huna hata aibu wa maneno uwazayo kimtokacho mtu ndicho kimejaa moyoni mwako amka usingizini
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
Ni sadak sio rushwa 🤣🤣
 
Wewe hutaki achangie Kanisa wakati waumini na Mchungaji wameomba? Akili zingine ni shida sana!!
Wanamichuki pengine lenyewe ilo la Yesu lkn limechefukwa. Je ingekuwa mama katoa kwa msikiti!!!
 
Kwani Kampeni zishaanza? Haya ndiyo mambo ile Tume inapaswa kukemea!
 
Wakuu,

Hii kiboko, tumeanza mwakampya na Rushwa mujarab kabisaa!

Hao kumbikumbi wanavyoshangilia sasa🤦!

=====

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzani Samia Suluhu Hassan, usiku huu wakati wa ibada ya mkesha ya kuusubiri mwaka mpya wa 2025 katika kanisa la ngome ya Yesu linaloongozwa na mchungaji kiongozi Kuhani Musa amepiga simu na kuongea na mchungaji pamoja na waumini wa Kanisa hilo huku akiwatakia heri ya mwaka mpya 2025.

Kwa vimbwanga na vituko kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Rais Samia ameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni mia moja katika ujenzi wa kanisa hilo unaoendelea.

View attachment 3189696
Siasa siasani. Mwaka wa kusaka kura popote na vyovyote.
 
Back
Top Bottom