Anakula perdiem tuu, 5m per day Sio mchezoIt sounds crazy et yuko Brazil
dah kuna mambo mengine yanashangaza sana aise.Anakula perdiem tuu, 5m per day Sio mchezo
Ni heshima na maombolezo kitaifa Kwa Watanganyika wenzetu walivokufa na majeruhiBendera nusu mlingoti ina effect gani kwa wale waliochini mkuu .?
Nauliza kwa maana sina elimu kuhusu mambo ya nusu mlingoti mkuu
Tunaomboleza, mkuu wa familia Kala nyoyaπ€£Najua upo Brazil kwenye majukumu yako
Japo viongozi wengine wa nchi zingine wakitaka kukupa salamu za pole inakuwa ngumu maana haupo nchini.
Ingekuwa busara zaidiusingesafiri ukabaki hapa tufatilie Kwa pamoja ajali hii, ila naheshimu mawazo yako
Watu na majeruhi ni wengi, mh Rais wetu amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa
Wakati huo amru njia na mbinu Bora zaidi za uokoajiTunaomboleza
Nimeshangaa mahali humu, mpuuzi MMOJA akanitukana niache kufatilia mambo ya watu..... Yaani chawa wa Chama Cha Mambuzi hawajui walitendalo.Siamini kwa huyu mtu ameweza kusafiri kwenda nje ya Nchi akiacha hali iko hivi. Aisee watanganyika sijui tulikosea wapi? Yaani janga kubwa kama hili watu wako chini wanalia msaada yeye kapanda mwewe kuondoka?
Nimekuelewa mkuu..Ni heshima na maombolezo kitaifa Kwa Watanganyika wenzetu walivokufa na majeruhi
Basi ngazi ya Taifa ionyeshwe kuguswa
Halafu akishaahirisha aende kariakoo?Ningemuelewa kama angeahirisha safari yake ya kwenda Brazil ningemuelewa.