Rais Samia amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa

Rais Samia amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Najua upo Brazil kwenye majukumu yako
Japo viongozi wengine wa nchi zingine wakitaka kukupa salamu za pole inakuwa ngumu maana haupo nchini.
Ingekuwa busara zaidi usingesafiri ukabaki hapa tufatilie Kwa pamoja ajali hii, ila naheshimu mawazo yako

Watu na majeruhi ni wengi, mh Rais wetu amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa

Wakati huo amru njia na mbinu Bora zaidi za uokoaji
 
Najua upo Brazil kwenye majukumu yako
Japo viongozi wengine wa nchi zingine wakitaka kukupa salamu za pole inakuwa ngumu maana haupo nchini.
Ingekuwa busara zaidiusingesafiri ukabaki hapa tufatilie Kwa pamoja ajali hii, ila naheshimu mawazo yako

Watu na majeruhi ni wengi, mh Rais wetu amru bendera ipepee nusu mlingoti tuomboleze kitaifa

Wakati huo amru njia na mbinu Bora zaidi za uokoajiTunaomboleza
Tunaomboleza, mkuu wa familia Kala nyoya🤣
 
Siamini kwa huyu mtu ameweza kusafiri kwenda nje ya Nchi akiacha hali iko hivi. Aisee watanganyika sijui tulikosea wapi? Yaani janga kubwa kama hili watu wako chini wanalia msaada yeye kapanda mwewe kuondoka?
Nimeshangaa mahali humu, mpuuzi MMOJA akanitukana niache kufatilia mambo ya watu..... Yaani chawa wa Chama Cha Mambuzi hawajui walitendalo.
Mtu tumemwajiri sisi, ni public property.... Unauliza kwanini asafiri aache msiba unafokewa......😂😂🙌🙌🙌
 
Just a logic question; did or do we expect Mama Samia to personally go to Kariakoo to dig up the rubble and save lives?
There are other senior government officials whom are present in the country and why should we expect her to do everything?

RIP to those who passed away and wishing the others a quick recovery.
 
Back
Top Bottom