Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Shida ya uchagani hawataki kabila jingine. Tangu siasa, kanisani, msikitini, Biashara, kila sehemu. Samia anataka kuwadekeza, atajuta
 
Ndani ya masaa 4 uzi umechangiwa na watu 732 kuonyesha Ni jinsi gani Sabaya alikua hapendwi.
Sabufa Jobo ndugu-yai angekua na akili angejifunza kitu. Lkn Alyep na chalimilya..
 
Siyo Social media tu kama wengi tunavyodhani, mamlaka za serikali nazo zipo kazini.
Aliyepita inadaiwa alipendelea watu wa aina hiyo, hivyo haikuwa rahisi kwake kupokea ushauri wa aina hii.
Kwa vyovyote vile ofisa usalama wa wilaya, mkuu wa polisi wilaya, TAKUKURU nk, wote walikuwa wanaona vitendo vyake.
 
Ndani ya masaa 4 uzi umechangiwa na watu 732 kuonyesha Ni jinsi gani Sabaya alikua hapendwi.
Sabufa Jobo ndugu-yai angekua na akili angejifunza kitu. Lkn Alyep na chalimilya..
Ndugai kesho anaamka na wale Covid 19
 
Akili za kuambiwa changanya na zako, Mama SSH (Sasha) kaambiwa na akachanganya na zake sasa anasubiri uchunguzi ili amkate mtu kichwa au amsamehe.😁
Kama uchunguzi utafanyika huru bila kuingiliwa kesi za kila namna zitamhusu. Atafunguliwa kesi hata 100. Hatapona. Na ndiyo mtego ulipo. Na hiyo kamati ya uchunguzi ijiangalie vizuri maana mama atakuwa na data zote za ukweli. Wakipindisha watakiona cha moto

Kichwa ya Sabaya imekatwa. Leta Mvinyo
 
Kesho bia, kuku na mbuzi vitateketea kudherehekea kibaraka kung'olewa.
Sabai utaiweka wapi sura yako?
Ulitumiwa Kama mpini tu kuwaumiza watu wa kwenu.
 
Tunashukuru sana Mama kwa kuondoa yule mwehu wilayani Hai.

Hakika Mama umekuja kutufuta machozi.

Sasa arudi uswahili tupambane vizuri. Bila STL wala ulinzi.
 
Tunashukuru sana Mama kwa kuondoa yule mwehu wilayani Hai.

Hakika Mama umekuja kutufuta machozi.

Sasa arudi uswahili tupambane vizuri. Bila STL wala ulinzi.
Wewe hukua MATAGA? wacha nifungue makaburi
 
Na DC wa ausha, kihongosi nae atumbuliwe

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…