Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake


huo ni mtazamo wenu kwamba mmeshinda,sisi hatujui kama kulikuwa na mashindano.
leo mnasema mmeshinda,ccm imeondoka madarakani!!!
au ni mwendelezo wa kujifariji tu??
 
huo ni mtazamo wenu kwamba mmeshinda,sisi hatujui kama kulikuwa na mashindano.
leo mnasema mmeshinda,ccm imeondoka madarakani!!!
au ni mwendelezo wa kujifariji tu??
Tutasaidiana na Mama kuiondoa CCM madarakani.
 
Wakimfukuza wanakuwa wamemhukumu na hivyo kupata escape route, lengo la kumsimamisha ni ili kumkondesha kwanza, na aonyeshe network yake yote na hatimaye ajinyonge, mwenyewe
Nimekumiss we mtu
 
Sisi huku iringa Happi alitaka kuleta za sabaya tulimbeba usiku tukaenda kumlaza makaburini.toka siku hiyo anasalmia mpaka watoto
Hii tamu sana aseee kumbe ndio maana amepoa ?? Duuuu safi sanaaaa....jeuri yake lazima aliwe alimtukana JK
 
CV yake haitoshi kuwa Mkuu wa Wilaya huyu! Ndio maana alivurunda sana! Hakustahili kabisa!
 
Hakuna cha Sukuma, sema wachaga hatutaki makabila mengine
Mkuu tusiwasingizie wachaga huyu ni mkuu wa mashetani. NI zaidi ya shetani tulikuwa tunaona kupitia mitandao ya kijamii wachaga hapo wanahusikaje dhidi ya unyama huu? Je, akikufanyia wewe utakaa kimya kisa siyo mchaga?
Acha kutumika kichwa ya sabaya imekatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…