Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Duh! Alisalimika kweli?!?

Alishindwa walinzi walishindwa kumuonyesha lakini walinzi walipewa kichapo! Sijui jamaa akili zake zikoje,mademu kibao wakali mashombe shombe warito warito na yeye mpunga wa dhulumati anao kibao sijui kwanini asingewatafuta akawalamba au kama anashindwa si angekuwa anaongea na stivie nyerere ampe connection.
 
Anaendaga gym pia na genge lake la wahuni huko arusha. Nikamwuliza vipi? Amekuharass pia? Bro akanijibu huwa mafia anakua harassed?[emoji23][emoji23] basi nikatulia
 
Hahahahaha. Lete mvinyo tusherehekee. Hakuna kipindi Mungu ameitetea Tanzania kama mwaka 2021
 
Sabaya atalipa gharama ya uovu wake.
Kwa hapa Arusha, ngoja watu waanze kupata pesa. Atapigwa pumbu tu. Hiyo ni guarantee malamamaee!! Kama alipigwa chuma Erasto Msuya na mabilioni yake na uchawi wake wote. Sabaya ni panya mdogo sana.. it's a matter of time..
 
Sabaya akimaliza kesi ya duniani atakutana na nyingine ya mbinguni hafai, ndio maana mwendazake alivyoondoka jamaa alilia akijua na yeye kinga yake imeondoka, kweli amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.
 
Huyu harudi,hata utendaji kata hapewi
Ana makandokando mengi...ile kujifanya
Anapigania wanyonge nk,ile ilikuwa boshen
Tu

Ova
 
Mtaimba mapambiyo yote. Mtaandika fasihi simulizi zote. Mtaimba kwa code na note ila mjue CCM halisi ndiyo iko madarakani. Mungu ni fundi. Mlinyanyasa Watanzania mpaka Chama Cha Mapinduzi???? Leta mvinyo. Mtasafishwa nyote na. hakuna kifaranga kitapona. Ulia mbali vyote.
 
Mpenda haki yoyote lazima
Ashangilie,hivi yule diwani aliyepigwa
Alikuwa wa chama gani????

Ova
 
Mmmh mbona tuhuma nyingi sana as if waliokua wanafanyiwa hayo kama nikweli wao walikua wasafi ?Nyuma hakuna watu walio umizwa na hao wafanya biashara wanaotetewa? ama kweli uchunguzi ufanyike haraka hapo kuna kiladalili za kupakana matope siasa ni mchezo mchafu sana. Lakini nano kuendesha uchunguzi huru na wahaki I'll upande wowote usionewe?
 
Nimeumia sana Mbowe apambane hawa vijana watoke na wafidiwe angalau wapewe mitaji kuja kuanza maisha upya....uraiani duuu inaumiza sana
 
kabisa akina sabaya wanafinywa kiseng
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…