Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Tuwe watu wa kutumia akili na kuacha ushabiki usio na kichwa wala miguu.

Makamanda wenzangu mngelianza kushangilia kama Sabaya angekuwa amefutwa kazi. Sasa amesimamishwa kupisha uchunguzi makelele kila kona.


 
Tuwe watu wa kutumia akili na kuacha ushabiki usio na kichwa wala miguu.

Makamanda wenzangu mngelianza kushangilia kama Sabaya angekuwa amefutwa kazi. Sasa amesimamishwa kupisha uchunguzi makelele kila kona
Utulivu ikisikilizwa taarifa ya kunyolewa mtu.
 
Tuwe watu wa kutumia akili na kuacha ushabiki usio na kichwa wala miguu.

Makamanda wenzangu mngelianza kushangilia kama Sabaya angekuwa amefutwa kazi. Sasa amesimamishwa kupisha uchunguzi makelele kila kona
Kuna impossibles, this is one of them. I am sure mama kuchukua hatua hiyo amejiridhisha kuwa kuna ukweli mkubwa katika tuhuma zinazomkabili now she wants it to be official through offical means
 
Atafungwa huyu Jamaa, Huu ni wakati wa Mungu wala sio wa Mama,
 
Kwa hiyo mkuu wewe ulitaka mtu kama Sabaya mwenye tuhuma lukuki za kuumiza watu aendelee kuwa mkuu wa wilaya...au sio!!
Hapana nataka kujua upande wa pili wa story, kwanini aliumiza hao watu...kwanini hao watu wawe weak point kwa serikali...hata Hitler alisema alifanya alichofanya kuwa protect wajerumani...
 
Kama mambo yote haya ni kweli yalifanyika chini ya utawala uliopita japo sio mm niopitia haya
Kwakweli nasema tu mungu ni mwema na karma is real
 
Kuna impossibles, this is one of them. I am sure mama kuchukua hatua hiyo amejiridhisha kuwa kuna ukweli mkubwa katika tuhuma zinazomkabili now she wants it to be official through offical means
vipi bandarini juzi kati hapa.

mtuhumiwa yeyote ni wajibu kuchunguzwa,unapokiwa mtumishi wa uma lazima usimamishwe kazi kwanza.

ndugu zetu wamefumuka na yowe kama vichaa.
 
Alikuwa anathubutu hata kwenda kumbaka mtu hotelini? Isitoshe msanii na kuna CCTV? Alihisi jamii ingemchukuliaje? Nahisi ubabe mwingi wa kupiga watu kuna watu ('wanyonge' na 'maskini' wenye chuki na matajiri) walikuwa wanadanganyika kuuona ni halali maana waliaminishwa kuwa watu wanaoumizwa wanastahili maana wanaibia nchi au wao mali zao. Ila mtu unaenda kujaribu kubaka mtu na unaenda na kundi la wahuni wakakusaidie kukushikia mikono na miguu? Anastahili adhabu kubwa sana kama ni kweli.
 
Ana tuhuma gani huyu shujaa wa HAI?
 
Ndiyo maana Lema aliona heri akimbilie uhamishoni,sasa cha moto watakipata na haya maelezo yanatoka Msoga ngoja wasambaratike na siasa zao za kishamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…