Kuna impossibles, this is one of them. I am sure mama kuchukua hatua hiyo amejiridhisha kuwa kuna ukweli mkubwa katika tuhuma zinazomkabili now she wants it to be official through offical means
Hapana nataka kujua upande wa pili wa story, kwanini aliumiza hao watu...kwanini hao watu wawe weak point kwa serikali...hata Hitler alisema alifanya alichofanya kuwa protect wajerumani...
Kuna impossibles, this is one of them. I am sure mama kuchukua hatua hiyo amejiridhisha kuwa kuna ukweli mkubwa katika tuhuma zinazomkabili now she wants it to be official through offical means
Hapana Mkuu kwa Sabaya alivuka mipaka mkuu....imagine mtu anaenda hotelini anataka aende Kumbandua Nandy kinguvu(CCTV) zipo ,anatumia genge la wahuni kupora mali za watu (CCTV) zipo,anatumia Plate number za UN kufanya matukio ya uhalifu ,amewahi kukamatwa kwa kutapeli kwa kudanganya yeye ni TISS.....Alienda kuvamia hotel ya mbowe na kuwakamata watalii ndani.
Mbona Abubakar Kunembe anafanya operation nyingi za kufuata sheria lakini chadema hawajawahi kulalamika sehemu yeyote? Kunembe akitaka kukamata wahamiaji haramu basi ataenda na watu wa uhamiaji ,akitaka kukamata wasiolipa kodi ataenda na polisi pamoja na watu wa TRA ila SaaMbovu anaenda na Kikundi cha wahuni aliowaokota mtaani na kwenda kupora kinguvu.
Alikuwa anathubutu hata kwenda kumbaka mtu hotelini? Isitoshe msanii na kuna CCTV? Alihisi jamii ingemchukuliaje? Nahisi ubabe mwingi wa kupiga watu kuna watu ('wanyonge' na 'maskini' wenye chuki na matajiri) walikuwa wanadanganyika kuuona ni halali maana waliaminishwa kuwa watu wanaoumizwa wanastahili maana wanaibia nchi au wao mali zao. Ila mtu unaenda kujaribu kubaka mtu na unaenda na kundi la wahuni wakakusaidie kukushikia mikono na miguu? Anastahili adhabu kubwa sana kama ni kweli.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ameshutumu vikali kitendo kilichofanywa na vijana wahuni wanaodaiwa kukodiwa na kuushambulia kwa mawe msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu. Mkuu huyo wa mkoa alitoa kauli hiyo wakati akimjibu Mkuu wa KKKT dayosisi ya Kaskazini Askofu Shoo...
Watu watatu waliokuwa wakimfuatilia mgombea ubunge jimbo la Vunjo kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, Ndg. James Mbatia wakiwa na gari aina ya Toyota Prado namba DFP 788 wamekamatwa na Jeshi la Polisi mjini Moshi jana saa 10 alasiri eneo la KDC baada ya Polisi kufukuzana na gari hilo na kufanikiwa...
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya. Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka...
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.