TheGodfather95
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 1,763
- 1,830
Nah. I'll pass. I just admire them from a distance. Am not looking for trouble. [emoji2094]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] let’s smash lady...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nah. I'll pass. I just admire them from a distance. Am not looking for trouble. [emoji2094]
I don't have what it takes.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] let’s smash lady...
I don't have what it takes.
Sorry.
Yeah. Just me being me.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ohohohoh you being you
Muda utakuja kutueleza uongozi wa namna gani ndio sahihi, yawezekana kuwakumbuka tulio wakataa au vinginevyo.Wataozuia watu kufanya biashara za magendo?
Wataozuia raia kudhulumiwa mali zao?
Ni bora uwe na kiongozi kama Makonda au Sabaya ambaye anapambana na waharifu wa kila aina kuliko kuwa na kiongozi lelemama ambaye yupo kuuuza sura tu.
Mengine watu wamebakiza uzushi na speculations tu.
Utaduguda sana Majambazi hawana nafasi tena kama mnaumia sana hamieni Burundi... nyambafu lonkansalyabhoya...Wataozuia watu kufanya biashara za magendo?
Wataozuia raia kudhulumiwa mali zao?
Ni bora uwe na kiongozi kama Makonda au Sabaya ambaye anapambana na waharifu wa kila aina kuliko kuwa na kiongozi lelemama ambaye yupo kuuuza sura tu.
Mengine watu wamebakiza uzushi na speculations tu.
Wakati ukutaDaah Mungu fundi bana hawa walikuwa miungu watu leo machepele tu...
Mtawala anayefanya uporaji, utekaji, uonevu wa kila aina hafai..Ni bora uwe na kiongozi kama Makonda au Sabaya ambaye anapambana na waharifu wa kila aina kuliko kuwa na kiongozi lelemama ambaye yupo kuuuza sura tu.
hata kama yeye mtawala mwenyewe anavunja sheria na kunyanyasa watu just because wanazuia biashara za magendo?Wataozuia watu kufanya biashara za magendo?
Wataozuia raia kudhulumiwa mali zao?
Ni bora uwe na kiongozi kama Makonda au Sabaya ambaye anapambana na waharifu wa kila aina kuliko kuwa na kiongozi lelemama ambaye yupo kuuuza sura tu.
Mengine watu wamebakiza uzushi na speculations tu.
kuna best candidates huko mitaani.. wengine wako serikalini.. wako best kuliko hao uliowasema.Muda utakuja kutueleza uongozi wa namna gani ndio sahihi, yawezekana kuwakumbuka tulio wakataa au vinginevyo.
Wataozuia watu kufanya biashara za magendo?
Wataozuia raia kudhulumiwa mali zao?
Vipi wee Mama mbona unaweweseka sana una mimba ya Sabaya eehh..!!Wataozuia watu kufanya biashara za magendo?
Wataozuia raia kudhulumiwa mali zao?
Ni bora uwe na kiongozi kama Makonda au Sabaya ambaye anapambana na waharifu wa kila aina kuliko kuwa na kiongozi lelemama ambaye yupo kuuuza sura tu.
Mengine watu wamebakiza uzushi na speculations tu.
Tabia mbovu zipi?hata kama yeye mtawala mwenyewe anavunja sheria na kunyanyasa watu just because wanazuia biashara za magendo?
unaweza kuwa unafanya kazi nzuri. lakin hizo kaz zikawa overshadowed with tabia mbovu ulizonazo.
na serikal huwa hawalei watu wa aina hiyo