Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Hivi hamjui kujifunza na kusoma alama za nyakati? Hamuoni kuwa kila tukio mnalodandia haliwatoi mrithi?

Mmekomaa na kushangilia Sabaya kusimamishwa kazi.

Tukwaeleza ukweli hakuna political gain mtakayoipata. Sasa mmepata majibu.

Muwe mnapita mitaani na kujaribu kama mmepata kick za kisiasa baada ya kudandia jambo.

Anywa mlishakubali matokeo na kuwa washabiki wa kupiga kelele.
 
Tunasubiri mchumba wako Bashite sasa
 
Mlishazoea kupost upuuzi mkikosa point.
Msomi wa Sheria anapoandika mada za jikoni akidhani wote humu ni mahousegirl Kama yeye! Unakwama wapi Dada wa kazi?
Lakini sawa kuonyesha unafiki wako humu kwani unaiga tabia za anko wako lijuakali! Haya kapunguze hizo funza zisije kuwa zimehamia kichwani!
 
Mumeo Sabaya yupo maficho gani mkuu?
 
James Delicious waache waliotumbuliwa wapumzike

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Upepo ulibadilikia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…