Kwani Bavicha walienda wapi?Ngoja Bavicha wanakuja!
Tunasubiri mchumba wako Bashite sasaHivi hamjui kujifunza na kusoma alama za nyakati? Hamuoni kuwa kila tukio mnalodandia haliwatoi mrithi?
Mmekomaa na kushangilia Sabaya kusimamishwa kazi.
Tukwaeleza ukweli hakuna political gain mtakayoipata. Sasa mmepata majibu.
Muwe mnapita mitaani na kujaribu kama mmepata kick za kisiasa baada ya kudandia jambo.
Anywa mlishakubali matokeo na kuwa washabiki wa kupiga kelele.
Mbegeni!Kwani Bavicha walienda wapi?
AhaaaaMbegeni!
Mlishazoea kupost upuuzi mkikosa point.mwandiko huu umetoka Kwa mtoto kiume kweli?
aisee kumbe vijana wengi wameharibika kiasi hiki? Hii mada umeandika ukiwa Kwenye draya unaseti nywele au
Msomi wa Sheria anapoandika mada za jikoni akidhani wote humu ni mahousegirl Kama yeye! Unakwama wapi Dada wa kazi?Mlishazoea kupost upuuzi mkikosa point.
Mumeo Sabaya yupo maficho gani mkuu?Hivi hamjui kujifunza na kusoma alama za nyakati? Hamuoni kuwa kila tukio mnalodandia haliwatoi mrithi?
Mmekomaa na kushangilia Sabaya kusimamishwa kazi.
Tukwaeleza ukweli hakuna political gain mtakayoipata. Sasa mmepata majibu.
Muwe mnapita mitaani na kujaribu kama mmepata kick za kisiasa baada ya kudandia jambo.
Anywa mlishakubali matokeo na kuwa washabiki wa kupiga kelele.
James Delicious waache waliotumbuliwa wapumzikeWataozuia watu kufanya biashara za magendo?
Wataozuia raia kudhulumiwa mali zao?
Ni bora uwe na kiongozi kama Makonda au Sabaya ambaye anapambana na waharifu wa kila aina kuliko kuwa na kiongozi lelemama ambaye yupo kuuuza sura tu.
Mengine watu wamebakiza uzushi na speculations tu.
Mwenye akili na afahamuGWAJIMA wa Kipindi flani au uyu wa Sasa anaepotosha chanjo ya corona?
Upepo ulibadilikia hapaRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo.
Pia soma:
- Mtozi Alloyce Nyanda: Kuna watu wanamtumia Swai kumchafua Sabaya?
- Ole Sabaya hizi tuhuma za Wafanyabiashara wa Hotel ni nzito kwako, huu sio uongozi!
- RC Kilimanjaro Anna Mghwira alaani wahuni walioshambulia msafara wa Tundu Lissu
- Kilimanjaro: Waliohusishwa na utekaji wa watu na kujitambulisha kama Usalama wa Taifa watiwa mbaroni
- Mbowe: Ole Sabaya akiwa na gari lenye namba UN na silaha za moto aliongoza genge la wahalifu kwa lengo la kunidhuru na kuniua
- Ole Sabaya ukipona hii panguapangua, chinja kondoo
Habari ndo hiyo
Nawatakia Eid Njema.
====
Hayati John Pombe Magufuli tarehe 28 Julai, 2018 alimteua Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai
CHAMA: CCM
TAARIFA ZA ELIMU YAKE
SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA
BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA
UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.
FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL
STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.
OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.
CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.
CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE
SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL
YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010
CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014