Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Acha useng. e weweHuyu Madam SSH anafanya kazi au anafanya maamuzi kwa kusikiliza kelele na porojo za mitandaoni.
Ni hatari sana kuwa na Rais anayesikiliza umbea, udaku na mihemuko ya mitandaoni kisha anachukua maamuzi ili kuwaridhisha followers wake.
Kaaazi kweli kweli!!!
Punguza hasira mkuu, kunywa maji. Kuimba ni kupokezana.Kwa kifupi hatuna Rais zaidi ya mtu mpumbavu asie na focus juu ya Taifa na ustawi wa Taifa letu,amebakiza majungu maihemuko ya kisiasa,She is not a president zaid ya kuwa mwanamke mwenye period
Kuna watu wana maneno sana humu.[emoji3064][emoji3064][emoji3064] alilawiti na kuua?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] washkaji zake Ole sabaya nyie.Mnahamishwa kwenye issue ya bandari.
Mimi nimeanza Kunywa tokea Asubuhi kuna Mabest zangu Wamerejea kutoka Ughaibuni wamekuja Kuwekeza Nchini kwao.Twende mkuu tukalewe aisee..mbona raha namna hii
Manina,,leo na ntakula beer mpaka asubui kwa furaha tu,,,Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
View attachment 1783582
Habari ndo hiyo
Nawatakia Eid Njema.
====
Alizaliwa mwaka 1980 katika mkoa wa Arusha
CHAMA: CCM
#NA SASA KAZI IMEANZA#
TAARIFA ZA ELIMU YAKE
SVISC. MASSACHUSET UNIVERSITY USA
BSC.ED ST JOHN UNIVERSITY DODOMA
UNED: SINIOUR SIX –BUGEMA HIGH SCHOOL-UGANDA.
FORM IV: IKIZU SEC SCHOOL
STD VII: SAMBASHA PRIMARY SCHOOL.
OTHERS: IST: PRESIDENT ST. JOHN’S UNIVERSITY DODOMA 2007.
CHAPEL PREFECT BUGEMA HIGH SCHOOL UGANDA.
CEO: TANZANIA YOUTH DEVELOPMENT CENTRE
SEMINARS BSYMPOSIUM: S. KOREA YOUTH CONFERENCE ,SOUL
YOUTH SUMMIT COMMISSIONED BY HON. PINDA TYDC:2010
CAPRIPOINT YOUTH EMPOWERMENT 2014
View attachment 1783581
a
HahahaHe is good looking though.
Who agrees?
Uwiii nikiliangalia hili jambazi nahisi kutapika(hapo lilikuwa linawaza sijui itakuwaje)Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jamboView attachment 1783585