Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

Amemsimamisha kupisha uchunguzi, hajamfukuza kazi. Kuna ubaya kuchunguza tuhuma za kiongozi wa umma? Unadhani Rais hana vyanzo vyake vya taarifa?
Ni hivi. Rais ana mechanism nyingi za kujua mambo. Hakurupuki. Ukiona amesimamishwa ujue imeshaonekana kuna ukweli kwenye tuhuma kwa kiasi kikubwa. Unajua ile kanuni ya FBI? Iko hivi: hawakuulizi swali la jambo wasilojua jibu lake.
 
Mimi nimeanza Kunywa tokea Asubuhi kuna Mabest wangu Wamerejea kutika Ughaibuni wamekuja Kuwekeza Nchini kwao.

Hizi habari zimetufanya tulipuke kwa futaha shangwe na Vigelegele
Enjoy...mie ngoja nitoke tu..sikua na mpango kbs...jamani taarifa kama hizi muwe mnatupa mapemaaa..saa9 hivi tunaipata💃💃🤸‍♂️🤸‍♂️
 
tusimuhukumu.
kasimamishwa kupisha uchunguzi.
ikibainika hana kosa atarudi kwenye kazi yake kama kawaida.

tusipende kushangilia matatizo ya mwenzako
[emoji16][emoji16][emoji16]nyumbu wameshasahau ya mkurugenzi bandari.
 
Naona watu mmefulai sasa tunaamia kwenye covid 19 sasa bongo mambo mengi kweli.
 
Back
Top Bottom