Bwana mdogo Sabaya Hakujifunza kwa pacha mwenzake Paul Makonda Baada ya kutumbuliwa kwake namna gani jamii ilimpokea.
Nilishangaa sana Juzi alipokuwa akihojiwa kwenye tawi la ccm ( clouds media) alikuwa anaongea mpaka anawapindukia watangazaji kama yuko sitting room alitamba zaid kiasi cha kum stopisha Kija kuwa asiwe na haraka yaani alikuwa na confidence ya hovyo sana.
Na ili nililitegemea maana malalamiko yalikuwa mengi mno juu yake.
Swala la kupisha uchunguzi dhidi yake ni kumtafutia sababu ya kumbananisha kwenye kona.
Miaka 35 ni sahihi ,kipind anasoma Ikizu sekondari akiwa form four mi nilikuwa form one mwaka 2006...jamaa alikuwa mbabe Sana , alikuwa na kundi la wannyanyua vyuma , yeye alikuwa wa mwisho kuingia dining hall na kundi lake na haiwezekani kuruhusiwa Kula bila yeye na kundi lake hawajafika , ni mtu wa system pia , Baba yake by that time alikuwa ni mkuu wa wilaya ya Serengeti kama sikosei
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomkabili kuanzia leo, Mei 13, 2021
Aidha, Rais Samia amefanya teuzi za Viongozi mbalimbali ambao uteuzi wao unaanza leo
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...
Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya. Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka...
Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter amesema msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai Amesema "Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame...
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa na kuumiza walinzi wawili wa hotel. Wamepora silaha yao na kuwatekeleza Arusha Rd. Pia soma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.