Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Mmh so dark skin men are your type enhh....the Idris Elba type of dudes...😂😂😂He is good looking though.
Who agrees?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh so dark skin men are your type enhh....the Idris Elba type of dudes...😂😂😂He is good looking though.
Who agrees?
Potelea nyanda za juu kusiniMnahamishwa kwenye issue ya bandari.
Kama sikunyooka enzi za jpm enzi zinazofata hakuna cha ajabu.Zamu yenu kunyoroshwa,tulia sindano iingie,ukitikisika itavunjikia
Usingekuja kulalama hapa,kama mlivyo furahia na kushangilia wengine waliponyooshwa na mwendazake na sasa msikasirike mkiona wengine wakifurahia kunyooshwa kwa majambazi wenu.Kama sikunyooka enzi za jpm enzi zinazofata hakuna cha ajabu.
N.b sina vyeti feki. Vyeti feki na majizi mna hasira sana
Topic inamuhusu Dc jambazi ww unaleta habari za marehemu. Rudi tuu kule chit-chat na MMU chief.Kahaba mwenyewe. Nachojua jpm alijua kuwanyoosha.
Yaan tumenawiri balaa, japo hatuna hela[emoji848]Sisi tunachojua ni kuwa Eid hii tunaisherehekea kwa mengi sana. Sababu moja wapo ni hii zawadi Mama aliyotupatia na nyingine ni ile Mungu alotupatia. Watanzania siku hizi tumejawa na furaha sana nyusoni mwetu.
Yaani kila mtu anayepinga udhalimu wa dikteta na MATAGA mnambatiza Chadema? Kweli hao chadema nimekubali kiboko yenu. Sabaya cloud alitaja Mbowe kuliko chochote. Ndugai naye hafanyi kazi bila kumtaja Mbowe na Chadema. Kwani hizo zilizoibiwa 2020 aliyezihandisi yuko wapi sasa? Huyo Sabaya yu wapi sasa? Uovu haudumu milele.kama chadema october 2020[emoji1787][emoji1787]
michango imefika shingapi??
sijui wewe ni nyumbu au mbung'o ila hutoki hapo kwa hao wadudu wawili.Yaani kila mtu anayepinga udhalimu wa dikteta na MATAGA mnambatiza Chadema? Kweli hao chadema nimekubali kiboko yenu. Sabaya cloud alitaja Mbowe kuliko chochote. Ndugai naye hafanyi kazi bila kumtaja Mbowe na Chadema. Kwani hizo zilizoibiwa 2020 aliyezihandisi yuko wapi sasa? Huyo Sabaya yu wapi sasa? Uovu haudumu milele.
Bali haki hudumu mileleYaani kila mtu anayepinga udhalimu wa dikteta na MATAGA mnambatiza Chadema? Kweli hao chadema nimekubali kiboko yenu. Sabaya cloud alitaja Mbowe kuliko chochote. Ndugai naye hafanyi kazi bila kumtaja Mbowe na Chadema. Kwani hizo zilizoibiwa 2020 aliyezihandisi yuko wapi sasa? Huyo Sabaya yu wapi sasa? Uovu haudumu milele.
What a great thinker comment?!Hii inastahili kabisa kuitwa zawadi ya Idd kwa watanzania
Haya ni machache ukilinganisha na uhalisia.Mungu wangu[emoji134][emoji134]yote haya