Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakwel aiseeHuyu Sabaya kwa nini asiuwawe tu?
Duuuu! It pain VERY muchMheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan hawa pichani ni waliokuwa walinzi wa Freeman Mbowe. Kuna Khalifa Hassan, Adam Kasekwa (ADAMO) na Mohamed Lingwenya.. Freeman Mbowe aliongeza ulinzi wa kutembea nao baada ya kuvamiwa Dodoma na kuvunjwa mguu wake wa kulia.
Wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu (aliyekuwa DC wa HAI) Lengai Ole Sabaya na genge lake walivamia hotel ya Freeman Mbowe inaitwa 'Protea Hotel Aishi Machame', huko Hai, wakawakamata hawa watu, wakapewa kesi ya UGAIDI. Pia wakabebeshwa mzigo wa nguo na sare za JWTZ na wakaambiwa wamekutwa nazo, wakapewa na vilipuzi.
Mashtaka mengine ni kukutwa na silaha pamoja na dawa za kulevya aina ya Heroin.. Waliteswa sana. Walipigwa sana. Waliumizwa sana. Tazama makovu yao. Waone walivyokondeana. Hawa wanaishi Tundu la choo hapa, pua zao hapa. Wapo gereza la Segerea.
Wanafungiwa private cell. Kila mmoja room yake. Hawatoki nje isipokuwa saa 11 alfajiri wakati wa kufunguliwa, kuhesabiwa na kupewa uji, saa 3 asubuhi kupewa ugali maharage, na saa 9 mchana wanafungiwa. Muda wote wamefungwa pingu kwenye miguu na mikono yao. Upelelezi haujawahi kukamilika.
Mahakamani hawapelekwi na hata usikilizwaji wa kesi kwa njia za video hawafanyiwi. Mahakama ni kama imewasahau. Sio sawa kabisa hii. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuna watu wanateseka sana kwa sababu ya amri za SABAYA. Wapo wengi, hawa ni baadhi.
Tunamtaka DPP aharakishe upelelezi wa kesi ya hawa ndugu zetu wenye familia zao au vinginevyo, awaachie huru watu hawa wanateseka bila hatia.. Hizi ni roho chafu na hila za shetani. Nchi yetu sio ya kidikteta.. SABAYA amewaumiza sana watu HAI. Ushahidi upo. @ MMM
View attachment 1784238
Sabaya ni jambazi kama majambazi wengine tuNdiyo maana Lema aliona heri akimbilie uhamishoni,sasa cha moto watakipata na haya maelezo yanatoka Msoga ngoja wasambaratike na siasa zao za kishamba
Huyo unayemjibu ni kati ya watetezi wa vitu vibovu kama nyukiWe mwanamke umeelewa alichoandika sabaya?
So sadMheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan hawa pichani ni waliokuwa walinzi wa Freeman Mbowe. Kuna Khalifa Hassan, Adam Kasekwa (ADAMO) na Mohamed Lingwenya.. Freeman Mbowe aliongeza ulinzi wa kutembea nao baada ya kuvamiwa Dodoma na kuvunjwa mguu wake wa kulia.
Wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu (aliyekuwa DC wa HAI) Lengai Ole Sabaya na genge lake walivamia hotel ya Freeman Mbowe inaitwa 'Protea Hotel Aishi Machame', huko Hai, wakawakamata hawa watu, wakapewa kesi ya UGAIDI. Pia wakabebeshwa mzigo wa nguo na sare za JWTZ na wakaambiwa wamekutwa nazo, wakapewa na vilipuzi.
Mashtaka mengine ni kukutwa na silaha pamoja na dawa za kulevya aina ya Heroin.. Waliteswa sana. Walipigwa sana. Waliumizwa sana. Tazama makovu yao. Waone walivyokondeana. Hawa wanaishi Tundu la choo hapa, pua zao hapa. Wapo gereza la Segerea.
Wanafungiwa private cell. Kila mmoja room yake. Hawatoki nje isipokuwa saa 11 alfajiri wakati wa kufunguliwa, kuhesabiwa na kupewa uji, saa 3 asubuhi kupewa ugali maharage, na saa 9 mchana wanafungiwa. Muda wote wamefungwa pingu kwenye miguu na mikono yao. Upelelezi haujawahi kukamilika.
Mahakamani hawapelekwi na hata usikilizwaji wa kesi kwa njia za video hawafanyiwi. Mahakama ni kama imewasahau. Sio sawa kabisa hii. Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuna watu wanateseka sana kwa sababu ya amri za SABAYA. Wapo wengi, hawa ni baadhi.
Tunamtaka DPP aharakishe upelelezi wa kesi ya hawa ndugu zetu wenye familia zao au vinginevyo, awaachie huru watu hawa wanateseka bila hatia.. Hizi ni roho chafu na hila za shetani. Nchi yetu sio ya kidikteta.. SABAYA amewaumiza sana watu HAI. Ushahidi upo. @ MMM
Na Wengine wadogo!Yaani huyu mama anajua kumalizia sikukuu yangu vizuri kweli, hela sina Ila napata raha tu.
Walikuja kumsafisha humu tukawaambia katika mambo aliyobugi ni kufanya ile interview ya clouds, pale amemchokonoa pweza aisee. Mama akikaa kimya anatafuta namna ya kumuondoa kimya Ila amemlazimisha mama amuondoe kwa kashfa akazijibu.
Meaning ameshtakiwa kiuongozi aisee hii sio kutenguliwa amefukuzwa kwa kashfa. Ameharibu CV.
Sasa waliokuwa wanamtetea wakamsaidie kujibu tuhuma. Kenge wakubwa
Pole sana mkuu, uwe unakunywa maji kwa wingi wakati ukitumia dawa. Sala ni muhimu pia! Kuhusu kanani, Biblical speaking, ni eneo la kwenda, siyo kutoka! Wenzako wanasemaga “hawatarudi misri”!Kama ameshamtoa dikteta Mbowe haina shida.
Watu wa Hai hawatarudi tena kanani
Mbona nasikia huyo alidanja jana?!
Mwisho wa ubaya ni aibu angalia eti hao ndio Magufuri alikuwa anawaamini,tukiwaambia Magufuri alikuwa jambazi na tapeli watu wanachukia kuwa tunamkosea heshima mwendazake,utapeli huu umemletezea kifo cha aibu na sasa madhaifu yake tunayaona kwa hawa mawakala wake hasa Ole Sabaya.
Naona Danga limekukimbia.Kahaba mwenyewe. Nachojua jpm alijua kuwanyoosha.
kama Sabaya ni katili namna hii,fikiria aliyemteua alikuwaje?
Naomba unisaidie kujua hili;
Hivi wale aliokuwa anaambatana nao na Bunduki kubwa kubwa ni Polisi au wahuni wa mitaani?
Yale ni majambazi aliyo shirikiana nayo kupora na kuiba mali/pesa za raia wema. Huyu mbwa anastahili kabisa kuchukuliwa hatua za kisheria. Ikibidi afilisiwe kabisa mali zake zote alizo zipata kwa njia haramu.Naomba unisaidie kujua hili;
Hivi wale aliokuwa anaambatana nao na Bunduki kubwa kubwa ni Polisi au wahuni wa mitaani?