Huko MSD aliweza kwa sababu taratibu za kitaasisi zinaheshimika; MSD hatapaweza kwa sababu ya siasaHuyu ndugu Mavere Tukai ni "kichwa" haswaa.....
Ni "pharmaceutical management specialist"....
Jamaa yuko FOCUSED na DETERMINED sana.....
Alikuwa pale USAID....wamarekani wanamfahamu kwa uwezo mkubwa alionao....watammiss sana.....
Imefika muda atutumikie katika MSD.....
Kila la heri kwake kamarada Mavere Tukai ,amen🙏
#Siempre JMT🙏
#YetzerHatov🙏
Umeona eeAkitaka kufanikiwa wale wakurugenzi wote wa idara aombe kibali wapangiwe Kazi nyingne... Otherwise Bado atanyoshwa tu Kama mwenzake na watu wanaojiita wazoefu wa kaz
KWELI KABISA BAADHI YA WAKURUGENZI NA MAMENEJA vitengo na baadhi ya Kanda HAWANA TIJA, mkuu wa.ukaguzi wa ndani biah aondolewe,mwanasheria anayekosa ushauri kwa taasisi na kufanya Mambo ya ovyo pia ni mnufaika na mikataba mibovu na safari nje ya nchi za hovyo hovyo kabisa, hr tafuta mwingine na meneja wake, baadhi ya MAMENEJA wa Kanda useless kabisa hawana ubunifu Wala uwezo wa kuongoza yaani dmo au RMO unatafuta majibu au utatuzi wa Jambo yaani hawana akili ya majadiliano, no IQ kabisa, anakujibu ngoja nikaulize very childish. Tofauti Sana na MAMENEJA wale walikuwepo Kama kina Comrade HAULE, TERRY, DAUDI MSASI, SIPE DI, SUNGUSIA etc, Sasa mlinao wengi wapowapo. ikiwezekana chukua baadhi toka wadau wa afya wataalamu wa supply chain ambao walifanya kazi bega kwa bega na msd.Akitaka kufanikiwa wale wakurugenzi wote wa idara aombe kibali wapangiwe Kazi nyingne... Otherwise Bado atanyoshwa tu Kama mwenzake na watu wanaojiita wazoefu wa kaz
Naunga mkono hoja,Afande alikuwa hajui uzito wa nafasi ya Meneja wa kanda,baada ya wimbi la kuhamishia nje ya MSD staff waliokuwa potential na asset kwa MSD(baadhi yao umewataja),Afande hakuzingatia uzito wa position ya Zonal Manager na wala hakuwa na sucession plan,hivyo watu wakachukua hizo nafasi kienyeji bila kuzingatia uwezo,na matokeo yake ndio hao managers wasio na uwezo wa kibiashara etc.ili ni eneo lingine inabidi lifanyiwe overhaulKWELI KABISA BAADHI YA WAKURUGENZI NA MAMENEJA vitengo na baadhi ya Kanda HAWANA TIJA, mkuu wa.ukaguzi wa ndani biah aondolewe,mwanasheria anayekosa ushauri kwa taasisi na kufanya Mambo ya ovyo pia ni mnufaika na mikataba mibovu na safari nje ya nchi za hovyo hovyo kabisa, hr tafuta mwingine na meneja wake, baadhi ya MAMENEJA wa Kanda useless kabisa hawana ubunifu Wala uwezo wa kuongoza yaani dmo au RMO unatafuta majibu au utatuzi wa Jambo yaani hawana akili ya majadiliano, no IQ kabisa, anakujibu ngoja nikaulize very childish. Tofauti Sana na MAMENEJA wale walikuwepo Kama kina Comrade HAULE, TERRY, DAUDI MSASI, SIPE DI, SUNGUSIA etc, Sasa mlinao wengi wapowapo. ikiwezekana chukua baadhi toka wadau wa afya wataalamu wa supply chain ambao walifanya kazi bega kwa bega na msd.
Unadhihirisha ulofa wako. Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais unajua maana yake nini?
Mwanasiasa Willbrod Peter Slaa amefanya mahojiano na kuzungumza mambo mengi kuhusu siasa, mahojiano haya ni mwendelezo ya interview aliyofanya wiki iliyopita.CAG hatafuti sifa za kijinga kama unavyodai,bali anafanya kazi professionally kwa mujibu wa viwango vya kimataifa vya ukaguzi(International Standards of Auditing) hivyo kazi yake ni ku-Audit,Kutoa Taarifa na kutoa Reccomendation.Kwenye Report husika CAG karipoti kuwa Deni la MSD limefikia 382 Bln na akashauri lilipwe ili kulinda Mtaji wa MSD,hapo CAG kishafanya kazi yake,Utekelezaji(Implimentantion) inabaki kuwa Taasisi Husika Chini ya Serikali.Hsta hivyo,Kuidai serikali siyo Justification ya MSD kuvunja taratibu xa manunuzi ya Umma(Public Ptocutement) kama kulipa suppliers bila contracts, kununua madawa bila ku-involve PMU wala TenderBoard ya MSD,kununua dawa overseas za 17Bln kwa Mikataba ambayo haikufanyiwa vetting na AG?,n.k,ambavyo vimechangia kula kichwa cha Mjeshi Maj.General Mhidze
View attachment 2188312
NiiceView attachment 2187838
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi jioni ya Aprili 14, 2022 kama ifuatavyo:
Amemteua Rosemary William Slaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Bohari ya Dawa (MSD), Bi. Slaa ni Afisa Mwandamizi katika Kampuni ya Picenaterhouse Coopers PWC.
Amemteua Mavere Tukai kuwa Mtendaji Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Tukai ni Kiongozi Mkuu wa Mradi wa USAID Global Health Supply Chain Technical Assistance.
Amemteua Raymond William Mndolwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Mndolwa ni Mtaalam wa Operesheni, Kampuni ya STC Construction, Dar es Salaam.
Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus ni kuwa uteuzi huo unaanza mara moja.
View attachment 2187787
hello,tunaomba mrejesho wa output ya u-kichwa wa Mavere hapo MSD so far?Mkuu, nani alikudanganya USAID wanaajiri vichwa? Nina ndugu zangu kibao wanafanya kazi USAID na international organization nyingine. Hakuna cha kichwa wala nini.
Hello,please leta Mrejesho wa u-kichwa na Output ya Mavere hapo MSD mpaka sasa.Kwa machache niliyoyasikia,mwambie aache papara atulie kwanza make hayo manunuzi ya MSD siyo mchezo,yameanza kumuharibia CV baada ya kubwagwa huko PAA(Public Procurement Appeals Authority) na kutokana na interference yake kwa MSD Tender BoardHuyu ndugu Mavere Tukai ni "kichwa" haswaa.....
Ni "pharmaceutical management specialist"....
Jamaa yuko FOCUSED na DETERMINED sana.....
Alikuwa pale USAID....wamarekani wanamfahamu kwa uwezo mkubwa alionao....watammiss sana.....
Imefika muda atutumikie katika MSD.....
Kila la heri kwake kamarada Mavere Tukai ,amen🙏
#Siempre JMT🙏
#YetzerHatov🙏
Hongera Mavere,Naona mmoja walishakula kichwaHr yao ni vichwa uji kabisa, Kuna wabibi wawili Mkurugenzi hr na meneja ake wapo Kama wanausingizi, mfano hawajui in house talents za watu wao and how to utilize. wamebaki kusikiliza na kupokea maelekezo toka kwa maafisa wenzao toka ofisi ya rais, yani bule kabisa
Hongera Mavere na walioleta JF,Maoni mengi kati ya haya yalishafanyiwa kaziKWELI KABISA BAADHI YA WAKURUGENZI NA MAMENEJA vitengo na baadhi ya Kanda HAWANA TIJA, mkuu wa.ukaguzi wa ndani biah aondolewe,mwanasheria anayekosa ushauri kwa taasisi na kufanya Mambo ya ovyo pia ni mnufaika na mikataba mibovu na safari nje ya nchi za hovyo hovyo kabisa, hr tafuta mwingine na meneja wake, baadhi ya MAMENEJA wa Kanda useless kabisa hawana ubunifu Wala uwezo wa kuongoza yaani dmo au RMO unatafuta majibu au utatuzi wa Jambo yaani hawana akili ya majadiliano, no IQ kabisa, anakujibu ngoja nikaulize very childish. Tofauti Sana na MAMENEJA wale walikuwepo Kama kina Comrade HAULE, TERRY, DAUDI MSASI, SIPE DI, SUNGUSIA etc, Sasa mlinao wengi wapowapo. ikiwezekana chukua baadhi toka wadau wa afya wataalamu wa supply chain ambao walifanya kazi bega kwa bega na msd.
Hongera JF,hili limeshafanyika la kuondoa wakurugenzi na Nafasi zikatangazwa kupitia PSRS,lakini kuna dalili mbaya ya ucheleweshaji wa michakato ya usaili toka July hadi leo kimya,sisi wafanyakazi tunahitaji kuona menejimenti mpya iliyokuja kwa MERIT na siyo ubabaishaji wa kuteuana tu.DG Mr. Mavere nakushauri jitahidi kufanya juu chini ku-fasttrack mchakato wa interview,vinginevyo utachafuka kuna tetesi kuwa unataka kupindua meza ili kuleta washikaji zako bila kufuata mchakato sahihiAkitaka kufanikiwa wale wakurugenzi wote wa idara aombe kibali wapangiwe Kazi nyingne... Otherwise Bado atanyoshwa tu Kama mwenzake na watu wanaojiita wazoefu wa kaz