Wakristo wenzangu tuache majungu
Kabisa yaaniEmbu wamuache legendary wetu Pasko aisee 😂😂
Niliona Hillary anasalimiana kiislamu juzi.Aisee, kule Hillary huku Zuhura, kazi iendelee!
Mama aJitahidi kubalance Dini, hii sio sawa manake JPM alilaumiwa kwa ukanda ila Dini it’s more sensitive matter! Huwezi ikawa kila teuzi anawaza dini na sio qualification na expertise kwenye eneo husika
Safi sana mama,ni wakati wa kuweka professionals kwenye nafasi kama hizi,sio "sycophants,and ass kissers"kama akina Msigwa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa Juni mwaka jana atapangiwa kazi nyingine akihudumu kwenye ofisi hiyo kwa miezi saba.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
======
Zuhura Yunus ni mwanamke wa kwanza kutangaza kipindi cha Kiswahili cha televisheni BBC, Dira ya Dunia akihudumu kwenye shirika hilo kwa miaka 14. Zuhura alijiunga na BBC Swahili mwaka 2008 akiwa mtangazaji na mtayarishaji wa matangazo. Alijulikana kwa wasikilizaji wa BBC Swahili kuwa mtangazaji kinara wa matangazao ya redio, Dira ya Dunia, Zuhura ameripoti na kutangaza uchaguzi wa Tanzania mwaka 2010.
Kabla ya kujiunga na BBC, Zuhura alifanya kazi ya utangazaji katika vipindi mbalimbali vya redio ya Times FM na Uhuru FM nchini Tanzania. Mwaka 2002 Zuhura alishinda tuzo ya Habari ya Ishi nchini Tanzania kutokana na ripoti ya HIV/Aids. Pia amefanya kazi ya uandishi wa habari katika gazeti la The Citizen newspaper.
Mwaka jana Zuhura aliandika kitabu chake cha wasifu wa Biubwa Amour Zahor, mwanaharakati mwanamke wa kisiasa wakati wa mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964.
Zuhura katika utumishi wake amewahoji viongozi wa Afrika kama vile Rais wa zamani wa Tanzania, Jakaya Kikwete kama sehemu ya taarifa kuhusu biashara haramu ya wanyama pori pamoja na Rais wa Uganda Yoweri Museveni. Mahojiano aliyoyafanya na mgombea urais wa upinzani, Edward Lowassa mwaka 2015 yalizua gumzo katika vyombo vya habari nchini.
Zuhura ni muhitimu wa shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Mbale IUIU, Uganda na ana shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Vyombo vya Habari kutoka Chuo Kikuu cha Leicester, Uingereza.
Serikali haina dini
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
MpareNi mmachame
Nilijua kuwa wewe sio mzalendo wa kweli. Walichosema wengine humu JF kuwa wewe ni bendera inayo fuata upepo sasa nakubali.Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Dikteta yeye alikuwa anafanyaje teuzi zake???!Saa 100 amtengue mwislamu halafu aweke mkristo thubutuu
Yeye akitengeu mwislamu anarudishia mwislamu
Ila akitengua mkristo (wakristo) anajazia waislamu
Jafar ni wakwetu Ila havai blazia huu ni mwendo wa blaziaMwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Kwaiyo kwa akili yenu fupi mnahisi kafukuzwa au??! Anapelekwa kwenye nafasi nyingine kubwa kuliko hiyomkuu wangu kabisa kutoka viunga vya Oysterbay opposite na St. Peters hebu tupe 'ubuyu' nini kimemsibu Bw. Haniu? Naskia kuna inshu kubwa pale jumba jeupe
Dah mkuu umesahu kuwa miaka ya nyuma alikuwa mtangazaji wa ITV ye na marehemu Misanya Bingi, kina Charles Hillary nk.Safi sana mama,ni wakati wa kuweka professionals kwenye nafasi kama hizi,sio "sycophants,and ass kissers"kama akina Msigwa.
Huyu mama ilibidi apewe ukurugenzi wa TBC, Yule Profesa aliyejaza nadharia kichwani pale TBC, hajui kitu,hajawahi hata kutangaza achilia mbali kufsnya uandishi wa habari zaidi ya kufundisha tu,
Hongera Mhe Raisi,tuwekeze na IGP mwanamke,mwenye weredi.
Oh kumbe! Mpare nini?Sio Mzanzibar....ni M-bara wa Kaskazini
Taabu ya watu ndio hii wakiona jina la muislamu wanakimbilia kusema mzanzibari, hata aalum hamduni wa pccb wapuuzi walikimbilia eti mzanzibari kumbe katokea Nzega, TaboraSio Mzanzibar....ni M-bara wa Kaskazini