Airfryer
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 430
- 1,039
Na hii umeikosa Bwana PascalDuh...!.
Wonders shall never end
Siamini Kinachotokea hapa uwanjani, Pascal Mayalla anawekwa benchi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii umeikosa Bwana PascalDuh...!.
Dah! Pole sana ndugu tatizo dini yako kikwazo.Duh...!. Usipime!.
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!.
P
its about qualifications, hakuna mambo ya UISLAMU hapa. Acheni hizi mediocre thinking zenuMwaka wa waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afute kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Pascal Mayalla alishakataa hizo kaziPascal Mayalla anaendelea kupiga picha daraja la Tanzanite na kupost
Jaffar Haniu ni Alhaji unayo habari?Dah! Pole sana ndugu tatizo dini kikwazo.
Lugha haipandiits about qualifications, hakuna mambo ya UISLAMU hapa. Acheni hizi mediocre thinking zenu
Kumbe Haniu alikuaga Kaimu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa atapangiwa kazi nyingine.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
View attachment 2103843
Ni mmachameSio Mzanzibar....ni M-bara wa Kaskazini
Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Niwekee CV ya Jaffar hapa bossits about qualifications, hakuna mambo ya UISLAMU hapa. Acheni hizi mediocre thinking zenu
Hii nili mquote ndugu yangu kabisa Pascal MayallaJaffar Haniu ni Alhaji unayo habari?
Vipi mzee mbona wanakusahau sana hizi nafasi au haujiongezi?Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Mkuu P, kwani aliyekuwepo alikuwa anapwaya?Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Anakaimu kwa leo, baada ya kuteuliwa mwingineKumbe Haniu alikuaga Kaimu.