Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Haniu alishindwa kuichangamsha kurugenzi yake, anatakiwa kuwa pro active, kumbrand Rais na mambo anayofanya kwa Taifa,yeye alikuwa anasubiri hafla tu
 
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Hajakosea bro anapelekwa kwingine

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania tunakubali kweli mwingereza ambaye mda wote akiwa BBC amekuwa mpinzani wa system yetu na mtu ambaye amekuwa akizi-challenge serikali zetu na ambaye identy yake haijulikani, kuwekwa kwenye position ambayo ni very delikcate kama hii Ikulu?

Watanzania mnaelewa lakini mambo mnayotendewa mbele ya macho yenu na Rais ambaye hana hata feeling ya maisha watanzania?

Ni kitu cha kusikitisha sana kuona Rais ambaye slogan yake ni maendelezo ya kazi iliyo anzishwa na mwenzake, badala ya kuendeleza kazi hiyo ili vijana waweze kuwa na kipato chenye uhakika, yeye anawarudisha watanzania tena nyuma kwenye hali ya wasi wasi na isiyo na uhakika.

Ana malengo gani huyu mama na watanzania? Mbona naona ni racist mkubwa sana wa kijinsia?View attachment 2104029
Alichalenji vipi na kuwa mpinzani wa serikali embu fafanua,BBC ni kutoa habari siyo mapambio.
 
Hili gazeti ni la nani 🤣🤣🤣
Screenshot_20220201-200400.png
 
Mawasiliano nayo muhimu, sio msingi mpaka unastaafu wewe upo danganyika tu, exposure nayo muhimu. Waandishi na wasomi wetu wengi communication skills ni changamoto, hata lugha fasaha ya kiswahili tu ni shida, kiingereza kinagonga ugokoni, swanglish ndio imejaa na mivyeti ya kukariri darasani.

Msome alama za nyakati, hizi ni zama nyengine na teuzi nyeti zinakwenda kimkakati.
Yaani msomi wa kitanzania, nchi ya waswahili, bado kwenye l anaweka r, kwenye m anaweka n, kwenye anakali sauti anapuyanga tu, Tafsida zero, tashtiti no where to be seen, hajui kishazi wala nahau ???

Hivi mumepata kuwasikia akina David Wakati, uncle J nyaisanga, Charles hillary, tido muhando , Chama Matata, Kipozi na huyu Zuhura Yunusu wanavyotohoa kiswahili na kiingereza?
Nendeni mkatafute clips zao na audio mkajifunze.
 
Back
Top Bottom