Rais Samia amteua Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Jaffar Haniu kupangiwa kazi nyingine

Let us wait and see if she will be free to "write"..... ushungi mwenzake.... mambo yameiva sasa. Bado msikiti kujengwa Ikulu!
 
Hapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
Kiingilish!!!! Wewe
 
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Acha chuki ndugu, hata Haniu ni Muislam lkn mbona wakiteuliwa wasio Waislam husemi
 
Zuhura Yunus sio Mwislam,…mnaokariri Dini za watu kwa kuangalia Majina mmeshaingia Mkenge
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.

Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…