Let us wait and see if she will be free to "write"..... ushungi mwenzake.... mambo yameiva sasa. Bado msikiti kujengwa Ikulu!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amemteua aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu akimrithi Jaffar Haniu. Mwezi uliopita Zuhura aliaga BBC na hakusema anapoelekea.
Haniu aliyerithi kijiti kutoka kwa Gerson Msigwa Juni mwaka jana atapangiwa kazi nyingine akihudumu kwenye ofisi hiyo kwa miezi saba.
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
udini mwingi
Kiingilish!!!! WeweHapa ndugu unakosea sana...mbona hao waislam wakati wa Magufuli akifanya teuzi walikuwa hawasemi kuwa mwaka wa wakristo huu! Usitake niamini "the lights are on,but nobody is home!
Nimehoji tu kama katenguliwa muislamu why asipewe mkristo hiyo nafasi? Anarudishwa muislamu haya mambo huwa kuna ku alternate akifeli muislamu anawekwa mkiristo.You are wrong.
Acha udini.
Acha chuki ndugu, hata Haniu ni Muislam lkn mbona wakiteuliwa wasio Waislam husemiMwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Kiinglish wewe siyo he ni sheLet us wait and see if he will be free to "write"..... ushungi mwenzake.... mambo yameiva sasa. Bado msikiti kujengwa Ikulu!
Turidhike kweli kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki lakini.Tusharidhika sasa hivi mama anaupiga mwingi chuki yangu kwake ilikuwa bure kabisa, sasa nipo nae na nina muunga mkono Mama yetu kwa 100%
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu sana sana upate uteuzi nawe Mungu ni mwema wakati wote saa yaja kwako pia.Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Wanawake oyeee, mpaka maji yaitwe mma.. Tunasubiri matokeo kutoka Dodoma japo tunayajua
Nipo na mama mkuu, tumuombee afya njema ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufasahaTuridhike kweli kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki lakini.
Muongo.udini mwingi
Muongo.Hakika!
Duh! Watanzania kwa Unafiki tu hatujambo!!Duh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Zuhura ni MPARE kenge weweWazanzibari mwaka wenu huu mshindwe nyie tu. Hongera sana VENUS NYOTA
Mwaka wa Waislamu huu, Ndugu yangu Jaffar Haniu kakosea wapi? Sitaki kuamini kakubali kirahisi hivyo kuacha yale mapochopocho mix kuku sambusa wa ikulu.
Mwezake Msigwa tangu afutwe kazi ikulu siku hizi kapauka kweli, Ikulu ikulu tu.
Vp wewe usingeiweza auDuh! Usipime!
Kazi imepata mtu stahiki.
Hongera Zuhura Yunus!
P
Sasa mkuu ukenge unakuja vipi hapo? 🤣🤣Zuhura ni MPARE kenge wewe