Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Rais Samia amtimua Hanafi Hassan Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara kisa wananchi kurudisha Kadi za CCM

Ufisadi ndio unaiweka ccm madarakani,

Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.

Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
 
Ufisadi ndio unaiweka ccm madarakani,

Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.

Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
Ni kama uhalisia tunaouona vile!
 
Ufisadi ndio unaiweka ccm madarakani,

Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.

Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
Wanatumia wafanya biashara kukusanya hela za kuhonga
 
Je!Kadi ni Muhimu kuliko ripoti ya CAG?

Tangu Rais Samia ameingia Madarakani,kumekuwa na taarifa nyingi sana kuhusu ufisadi mkubwa sana unaoendelea kufanywa katika taasisi na miradi mingi ya kitaifa.Ikiwa pia ni katika halmashauri za majiji,Mikoa na Wilaya.

Hii ni kutokana na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG. Kwa miaka miwili mfululizo kama sikosei.

Sasa basi,la kushangaza ni kwamba tangu ripoti hizo za mabilioni kwa matrilioni ya upotevu wa pesa za serikali kutolewa na CAG.

Hatujawahi kumuona au kumsikia Mh Rais Samia akichukua hatua za kuwawajibisha wahusika na hatimae kuweza kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria ili hatua stahiki za kinidhamu na kijinai ziweze kuchukuliwa

Kama sikosei mara ya mwisho tulimkariri Mh Rais akiishia kusema hao ni Wezi wa mali za umma ni "Stupid"
Badae hayo yalipita na maisha yameendelea,bila kusikia kauli ya Rais kuhusiana na ubadhirifu huo.
Mpaka sasa ilipoibuka ya huko Mtwara .Ambapo limetokea tukio hili.
Kwamba...
Wananchi wamerudisha kadi za CCM kisa ni kutoridhishwa na watendaji wa serikali katika mojawapo ya wilaya mkoani humo.

Sasa ndio tumemuona mama ametoka rasmi na kuanza kuwatumbua viongozi wa kiserikali. Kama DC,DED na wengine watakaofuatia.

Sitaki kuingia kutafuta mchawi kwa huko Mtwara.

Ila najiuliza tu kwamba!

Je!
Kwa yeye Mheshimiwa Rais JMT.
Hata ma-trilioni yanayoibiwa kila uchao na huku akipewa taarifa kuanzia ukarabati wa MV Magogoni huko Mombasa Kenya, kwa thamani inayozidi bei ya kununulia kivuko chenyewe.
Na mpaka sasa yuko kimya!

Ripoti za CAG.mpaka sasa yuko kimya!

Madawa ya kulevya yaliyokamatwa Mtwara na mpaka sasa kimya!

Na sasa kashfa ya mkataba wa DP-WORLD ametamka tena kwenye
Hadhara ya waumini kanisani kwamba "amekaa kimya na ataendelea kukaa kimya"

Mambo yaliyonyamaziwa ni mengi sana mpaka sasa!

Lakini kurudishwa kadi ameshindwa kukaa kimya sababu wamegusa maslahi yake.
Sababu kurudishwa kadi ni kifo kwa CCM ambayo ndiyo mzizi na nguzo kuu kwa U- Rais wake!

Kwamba hayo mengine hayamhusu sababu wanatekeleza maelekezo ya kula urefu wa kamba yake au?

Tumueleweje Mheshimiwa Rais wetu wa JMT?

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2732155
Mkuu

Usimlaumu Rais walaum waliomweka Rais!!

Rais anaonyesha uwezo wake na ndio huo tunaouona!waliomweka kama yeye ndio wanapaswa kulaumiwa KWA kumweka yeye kama ameshindwa kutimiza matarajio yako wewe mwanamchi na mlipa kodi!!


Tuache KUMSHAMBULIA Rais tuishambulie mamlaka iliyomweka yeye kama hajatimiza matarajio ya wengi!!
 
Je!Kadi ni Muhimu kuliko ripoti ya CAG?

Tangu Rais Samia ameingia Madarakani,kumekuwa na taarifa nyingi sana kuhusu ufisadi mkubwa sana unaoendelea kufanywa katika taasisi na miradi mingi ya kitaifa.Ikiwa pia ni katika halmashauri za majiji,Mikoa na Wilaya.

Hii ni kutokana na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG. Kwa miaka miwili mfululizo kama sikosei.

Sasa basi,la kushangaza ni kwamba tangu ripoti hizo za mabilioni kwa matrilioni ya upotevu wa pesa za serikali kutolewa na CAG.

Hatujawahi kumuona au kumsikia Mh Rais Samia akichukua hatua za kuwawajibisha wahusika na hatimae kuweza kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria ili hatua stahiki za kinidhamu na kijinai ziweze kuchukuliwa

Kama sikosei mara ya mwisho tulimkariri Mh Rais akiishia kusema hao ni Wezi wa mali za umma ni "Stupid"
Badae hayo yalipita na maisha yameendelea,bila kusikia kauli ya Rais kuhusiana na ubadhirifu huo.
Mpaka sasa ilipoibuka ya huko Mtwara .Ambapo limetokea tukio hili.
Kwamba...
Wananchi wamerudisha kadi za CCM kisa ni kutoridhishwa na watendaji wa serikali katika mojawapo ya wilaya mkoani humo.

Sasa ndio tumemuona mama ametoka rasmi na kuanza kuwatumbua viongozi wa kiserikali. Kama DC,DED na wengine watakaofuatia.

Sitaki kuingia kutafuta mchawi kwa huko Mtwara.

Ila najiuliza tu kwamba!

Je!
Kwa yeye Mheshimiwa Rais JMT.
Hata ma-trilioni yanayoibiwa kila uchao na huku akipewa taarifa kuanzia ukarabati wa MV Magogoni huko Mombasa Kenya, kwa thamani inayozidi bei ya kununulia kivuko chenyewe.
Na mpaka sasa yuko kimya!

Ripoti za CAG.mpaka sasa yuko kimya!

Madawa ya kulevya yaliyokamatwa Mtwara na mpaka sasa kimya!

Na sasa kashfa ya mkataba wa DP-WORLD ametamka tena kwenye
Hadhara ya waumini kanisani kwamba "amekaa kimya na ataendelea kukaa kimya"

Mambo yaliyonyamaziwa ni mengi sana mpaka sasa!

Lakini kurudishwa kadi ameshindwa kukaa kimya sababu wamegusa maslahi yake.
Sababu kurudishwa kadi ni kifo kwa CCM ambayo ndiyo mzizi na nguzo kuu kwa U- Rais wake!

Kwamba hayo mengine hayamhusu sababu wanatekeleza maelekezo ya kula urefu wa kamba yake au?

Tumueleweje Mheshimiwa Rais wetu wa JMT?

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2732155
utashangaa Kuna watu watakuja kupinga ukweli huu ulio UCHI Nashindwaga kuelewa nn shida
 
Mkuu

Usimlaumu Rais walaum waliomweka Rais!!

Rais anaonyesha uwezo wake na ndio huo tunaouona!waliomweka kama yeye ndio wanapaswa kulaumiwa KWA kumweka yeye kama ameshindwa kutimiza matarajio yako wewe mwanamchi na mlipa kodi!!


Tuache KUMSHAMBULIA Rais tuishambulie mamlaka iliyomweka yeye kama hajatimiza matarajio ya wengi!!
huyo si ni rais wa katiba, Tuwalaumu marehem walio pitishaga katiba ya kipuuzi
 
"Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata" - Nukuu
Ufisadi ndio unaiweka ccm madarakani,

Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.

Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
I nail it I salute you chief.
 
Mkuu

Usimlaumu Rais walaum waliomweka Rais!!

Rais anaonyesha uwezo wake na ndio huo tunaouona!waliomweka kama yeye ndio wanapaswa kulaumiwa KWA kumweka yeye kama ameshindwa kutimiza matarajio yako wewe mwanamchi na mlipa kodi!!


Tuache KUMSHAMBULIA Rais tuishambulie mamlaka iliyomweka yeye kama hajatimiza matarajio ya wengi!!
Haya ni màoni yako binafsi,nayaheshimu
 
Ufisadi ndio sera rasmi ya CCM. Siku wakiacha ujue hawapo madarakani.
 
Je, Kadi ni Muhimu kuliko ripoti ya CAG?

Tangu Rais Samia ameingia Madarakani,kumekuwa na taarifa nyingi sana kuhusu ufisadi mkubwa sana unaoendelea kufanywa katika taasisi na miradi mingi ya kitaifa.Ikiwa pia ni katika halmashauri za majiji,Mikoa na Wilaya.

Hii ni kutokana na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG. Kwa miaka miwili mfululizo kama sikosei.

Sasa basi,la kushangaza ni kwamba tangu ripoti hizo za mabilioni kwa matrilioni ya upotevu wa pesa za serikali kutolewa na CAG.

Hatujawahi kumuona au kumsikia Mh Rais Samia akichukua hatua za kuwawajibisha wahusika na hatimae kuweza kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria ili hatua stahiki za kinidhamu na kijinai ziweze kuchukuliwa

Kama sikosei mara ya mwisho tulimkariri Mh Rais akiishia kusema hao ni Wezi wa mali za umma ni "Stupid"
Badae hayo yalipita na maisha yameendelea,bila kusikia kauli ya Rais kuhusiana na ubadhirifu huo.
Mpaka sasa ilipoibuka ya huko Mtwara. Ambapo limetokea tukio hili.
Kwamba.

Wananchi wamerudisha kadi za CCM kisa ni kutoridhishwa na watendaji wa serikali katika mojawapo ya wilaya mkoani humo.

Sasa ndio tumemuona mama ametoka rasmi na kuanza kuwatumbua viongozi wa kiserikali. Kama DC,DED na wengine watakaofuatia.

Sitaki kuingia kutafuta mchawi kwa huko Mtwara.

Ila najiuliza tu kwamba!

Je!
Kwa yeye Mheshimiwa Rais JMT.
Hata ma-trilioni yanayoibiwa kila uchao na huku akipewa taarifa kuanzia ukarabati wa MV Magogoni huko Mombasa Kenya, kwa thamani inayozidi bei ya kununulia kivuko chenyewe.
Na mpaka sasa yuko kimya!

Ripoti za CAG.mpaka sasa yuko kimya!

Madawa ya kulevya yaliyokamatwa Mtwara na mpaka sasa kimya!

Na sasa kashfa ya mkataba wa DP-WORLD ametamka tena kwenye
Hadhara ya waumini kanisani kwamba "amekaa kimya na ataendelea kukaa kimya"

Mambo yaliyonyamaziwa ni mengi sana mpaka sasa!

Lakini kurudishwa kadi ameshindwa kukaa kimya sababu wamegusa maslahi yake.
Sababu kurudishwa kadi ni kifo kwa CCM ambayo ndiyo mzizi na nguzo kuu kwa U- Rais wake!

Kwamba hayo mengine hayamhusu sababu wanatekeleza maelekezo ya kula urefu wa kamba yake au?

Tumueleweje Mheshimiwa Rais wetu wa JMT?

Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2732155
Wivu tu. Kama nyie wenyewe kwenye mahakama mnamzunguka rais mnahongana wakati kuna sheria mnataka rais afanyeje??? Afukuzwe watu bila utaratibu wa kiutumishi halafu yaanze mashitaka dhidi ya serikali?? Acheni kumsingiziq rais wetu Dkt Samia.
 
Yeye anarudisha lini Ikulu yetu maana hapamtoshi hata kwa kila hari
 
Wivu tu. Kama nyie wenyewe kwenye mahakama mnamzunguka rais mnahongana wakati kuna sheria mnataka rais afanyeje??? Afukuzwe watu bila utaratibu wa kiutumishi halafu yaanze mashitaka dhidi ya serikali?? Acheni kumsingiziq rais wetu Dkt Samia.
nyie vyawa ndo mnamponza mama yenu
 
Back
Top Bottom