Ni kama uhalisia tunaouona vile!Ufisadi ndio unaiweka ccm madarakani,
Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.
Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
Wanatumia wafanya biashara kukusanya hela za kuhongaUfisadi ndio unaiweka ccm madarakani,
Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.
Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
MkuuJe!Kadi ni Muhimu kuliko ripoti ya CAG?
Tangu Rais Samia ameingia Madarakani,kumekuwa na taarifa nyingi sana kuhusu ufisadi mkubwa sana unaoendelea kufanywa katika taasisi na miradi mingi ya kitaifa.Ikiwa pia ni katika halmashauri za majiji,Mikoa na Wilaya.
Hii ni kutokana na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG. Kwa miaka miwili mfululizo kama sikosei.
Sasa basi,la kushangaza ni kwamba tangu ripoti hizo za mabilioni kwa matrilioni ya upotevu wa pesa za serikali kutolewa na CAG.
Hatujawahi kumuona au kumsikia Mh Rais Samia akichukua hatua za kuwawajibisha wahusika na hatimae kuweza kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria ili hatua stahiki za kinidhamu na kijinai ziweze kuchukuliwa
Kama sikosei mara ya mwisho tulimkariri Mh Rais akiishia kusema hao ni Wezi wa mali za umma ni "Stupid"
Badae hayo yalipita na maisha yameendelea,bila kusikia kauli ya Rais kuhusiana na ubadhirifu huo.
Mpaka sasa ilipoibuka ya huko Mtwara .Ambapo limetokea tukio hili.
Kwamba...
Wananchi wamerudisha kadi za CCM kisa ni kutoridhishwa na watendaji wa serikali katika mojawapo ya wilaya mkoani humo.
Sasa ndio tumemuona mama ametoka rasmi na kuanza kuwatumbua viongozi wa kiserikali. Kama DC,DED na wengine watakaofuatia.
Sitaki kuingia kutafuta mchawi kwa huko Mtwara.
Ila najiuliza tu kwamba!
Je!
Kwa yeye Mheshimiwa Rais JMT.
Hata ma-trilioni yanayoibiwa kila uchao na huku akipewa taarifa kuanzia ukarabati wa MV Magogoni huko Mombasa Kenya, kwa thamani inayozidi bei ya kununulia kivuko chenyewe.
Na mpaka sasa yuko kimya!
Ripoti za CAG.mpaka sasa yuko kimya!
Madawa ya kulevya yaliyokamatwa Mtwara na mpaka sasa kimya!
Na sasa kashfa ya mkataba wa DP-WORLD ametamka tena kwenye
Hadhara ya waumini kanisani kwamba "amekaa kimya na ataendelea kukaa kimya"
Mambo yaliyonyamaziwa ni mengi sana mpaka sasa!
Lakini kurudishwa kadi ameshindwa kukaa kimya sababu wamegusa maslahi yake.
Sababu kurudishwa kadi ni kifo kwa CCM ambayo ndiyo mzizi na nguzo kuu kwa U- Rais wake!
Kwamba hayo mengine hayamhusu sababu wanatekeleza maelekezo ya kula urefu wa kamba yake au?
Tumueleweje Mheshimiwa Rais wetu wa JMT?
Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2732155
Mtazitumia kuwasha mwenge kwani huu ni mwanzo wa hizo kadi zenu kurudishwa!! Zitarudishwa mpaka pale Samia atakaporudisha bandari zetu toka kwa wajomba zake!Kadi ndio Silaha kuu tuliyonayo na tutaitumia ipasavyo!
utashangaa Kuna watu watakuja kupinga ukweli huu ulio UCHI Nashindwaga kuelewa nn shidaJe!Kadi ni Muhimu kuliko ripoti ya CAG?
Tangu Rais Samia ameingia Madarakani,kumekuwa na taarifa nyingi sana kuhusu ufisadi mkubwa sana unaoendelea kufanywa katika taasisi na miradi mingi ya kitaifa.Ikiwa pia ni katika halmashauri za majiji,Mikoa na Wilaya.
Hii ni kutokana na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG. Kwa miaka miwili mfululizo kama sikosei.
Sasa basi,la kushangaza ni kwamba tangu ripoti hizo za mabilioni kwa matrilioni ya upotevu wa pesa za serikali kutolewa na CAG.
Hatujawahi kumuona au kumsikia Mh Rais Samia akichukua hatua za kuwawajibisha wahusika na hatimae kuweza kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria ili hatua stahiki za kinidhamu na kijinai ziweze kuchukuliwa
Kama sikosei mara ya mwisho tulimkariri Mh Rais akiishia kusema hao ni Wezi wa mali za umma ni "Stupid"
Badae hayo yalipita na maisha yameendelea,bila kusikia kauli ya Rais kuhusiana na ubadhirifu huo.
Mpaka sasa ilipoibuka ya huko Mtwara .Ambapo limetokea tukio hili.
Kwamba...
Wananchi wamerudisha kadi za CCM kisa ni kutoridhishwa na watendaji wa serikali katika mojawapo ya wilaya mkoani humo.
Sasa ndio tumemuona mama ametoka rasmi na kuanza kuwatumbua viongozi wa kiserikali. Kama DC,DED na wengine watakaofuatia.
Sitaki kuingia kutafuta mchawi kwa huko Mtwara.
Ila najiuliza tu kwamba!
Je!
Kwa yeye Mheshimiwa Rais JMT.
Hata ma-trilioni yanayoibiwa kila uchao na huku akipewa taarifa kuanzia ukarabati wa MV Magogoni huko Mombasa Kenya, kwa thamani inayozidi bei ya kununulia kivuko chenyewe.
Na mpaka sasa yuko kimya!
Ripoti za CAG.mpaka sasa yuko kimya!
Madawa ya kulevya yaliyokamatwa Mtwara na mpaka sasa kimya!
Na sasa kashfa ya mkataba wa DP-WORLD ametamka tena kwenye
Hadhara ya waumini kanisani kwamba "amekaa kimya na ataendelea kukaa kimya"
Mambo yaliyonyamaziwa ni mengi sana mpaka sasa!
Lakini kurudishwa kadi ameshindwa kukaa kimya sababu wamegusa maslahi yake.
Sababu kurudishwa kadi ni kifo kwa CCM ambayo ndiyo mzizi na nguzo kuu kwa U- Rais wake!
Kwamba hayo mengine hayamhusu sababu wanatekeleza maelekezo ya kula urefu wa kamba yake au?
Tumueleweje Mheshimiwa Rais wetu wa JMT?
Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2732155
huyo si ni rais wa katiba, Tuwalaumu marehem walio pitishaga katiba ya kipuuziMkuu
Usimlaumu Rais walaum waliomweka Rais!!
Rais anaonyesha uwezo wake na ndio huo tunaouona!waliomweka kama yeye ndio wanapaswa kulaumiwa KWA kumweka yeye kama ameshindwa kutimiza matarajio yako wewe mwanamchi na mlipa kodi!!
Tuache KUMSHAMBULIA Rais tuishambulie mamlaka iliyomweka yeye kama hajatimiza matarajio ya wengi!!
I nail it I salute you chief.Ufisadi ndio unaiweka ccm madarakani,
Fedha za kuhonga zinakusanywa na makada wao Kila sehemu, ukiwa hata mhudumu wa mgahawa kama wewe ni kada hakikisha unaiba hata kijiko kimoja kimoja Kila mwezi ili fedha za kuhonga zipatokane, kama ni mwalimu chaki ni haki yako kupita nayo kwa mstakabali wa chama.
Kutafuta asiye mwizi ccm ni sawa na kutafuta bikra kwenye kundi la machangudoa, kamwe huwezi kumpata.
Haya ni màoni yako binafsi,nayaheshimuMkuu
Usimlaumu Rais walaum waliomweka Rais!!
Rais anaonyesha uwezo wake na ndio huo tunaouona!waliomweka kama yeye ndio wanapaswa kulaumiwa KWA kumweka yeye kama ameshindwa kutimiza matarajio yako wewe mwanamchi na mlipa kodi!!
Tuache KUMSHAMBULIA Rais tuishambulie mamlaka iliyomweka yeye kama hajatimiza matarajio ya wengi!!
Wivu tu. Kama nyie wenyewe kwenye mahakama mnamzunguka rais mnahongana wakati kuna sheria mnataka rais afanyeje??? Afukuzwe watu bila utaratibu wa kiutumishi halafu yaanze mashitaka dhidi ya serikali?? Acheni kumsingiziq rais wetu Dkt Samia.Je, Kadi ni Muhimu kuliko ripoti ya CAG?
Tangu Rais Samia ameingia Madarakani,kumekuwa na taarifa nyingi sana kuhusu ufisadi mkubwa sana unaoendelea kufanywa katika taasisi na miradi mingi ya kitaifa.Ikiwa pia ni katika halmashauri za majiji,Mikoa na Wilaya.
Hii ni kutokana na ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG. Kwa miaka miwili mfululizo kama sikosei.
Sasa basi,la kushangaza ni kwamba tangu ripoti hizo za mabilioni kwa matrilioni ya upotevu wa pesa za serikali kutolewa na CAG.
Hatujawahi kumuona au kumsikia Mh Rais Samia akichukua hatua za kuwawajibisha wahusika na hatimae kuweza kuwafikisha kwenye vyombo vya kisheria ili hatua stahiki za kinidhamu na kijinai ziweze kuchukuliwa
Kama sikosei mara ya mwisho tulimkariri Mh Rais akiishia kusema hao ni Wezi wa mali za umma ni "Stupid"
Badae hayo yalipita na maisha yameendelea,bila kusikia kauli ya Rais kuhusiana na ubadhirifu huo.
Mpaka sasa ilipoibuka ya huko Mtwara. Ambapo limetokea tukio hili.
Kwamba.
Wananchi wamerudisha kadi za CCM kisa ni kutoridhishwa na watendaji wa serikali katika mojawapo ya wilaya mkoani humo.
Sasa ndio tumemuona mama ametoka rasmi na kuanza kuwatumbua viongozi wa kiserikali. Kama DC,DED na wengine watakaofuatia.
Sitaki kuingia kutafuta mchawi kwa huko Mtwara.
Ila najiuliza tu kwamba!
Je!
Kwa yeye Mheshimiwa Rais JMT.
Hata ma-trilioni yanayoibiwa kila uchao na huku akipewa taarifa kuanzia ukarabati wa MV Magogoni huko Mombasa Kenya, kwa thamani inayozidi bei ya kununulia kivuko chenyewe.
Na mpaka sasa yuko kimya!
Ripoti za CAG.mpaka sasa yuko kimya!
Madawa ya kulevya yaliyokamatwa Mtwara na mpaka sasa kimya!
Na sasa kashfa ya mkataba wa DP-WORLD ametamka tena kwenye
Hadhara ya waumini kanisani kwamba "amekaa kimya na ataendelea kukaa kimya"
Mambo yaliyonyamaziwa ni mengi sana mpaka sasa!
Lakini kurudishwa kadi ameshindwa kukaa kimya sababu wamegusa maslahi yake.
Sababu kurudishwa kadi ni kifo kwa CCM ambayo ndiyo mzizi na nguzo kuu kwa U- Rais wake!
Kwamba hayo mengine hayamhusu sababu wanatekeleza maelekezo ya kula urefu wa kamba yake au?
Tumueleweje Mheshimiwa Rais wetu wa JMT?
Eeh Mola Inusuru Tanzania [emoji1241] [emoji813] View attachment 2732155
Na wasio wanachama wa CCM wakiwa na shida waende kwa nani?wanasema serikali ni ya CCM na watumishi wanaitetea CCM
nyie vyawa ndo mnamponza mama yenuWivu tu. Kama nyie wenyewe kwenye mahakama mnamzunguka rais mnahongana wakati kuna sheria mnataka rais afanyeje??? Afukuzwe watu bila utaratibu wa kiutumishi halafu yaanze mashitaka dhidi ya serikali?? Acheni kumsingiziq rais wetu Dkt Samia.
Wivu tunyie vyawa ndo mnamponza mama yenu
Ndiyo na Mama Dkt Samia. Mnatuonea wivunikuonee wivu ww?