Rais Samia amuapisha Dkt. Charles Mahera kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - TAMISEMI

Rais Samia amuapisha Dkt. Charles Mahera kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - TAMISEMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Kwa nafasi hiyo anakuwa bosi wa Wakurugenzi wa Halmashauri ambao husimamia mchakato mzima wa uchaguzi na kupanga matokeo kwa maeneo yao!
Amepewa nafasi kimkakati bila shaka
 
Mpe mchawi akulelee mwana wako... kweli itafanikiwa?! Maana kama uliwahi kugongwa na nyoka siku unyasi ukipapasa unyanyo wako bado utahisi ni hatari ya nyoka inakukabili tena.

Pengine Mh. Rais anampa jukumu Dr. Mahera asivuruge uchaguzi wa 2024 na 2025 maana Dr. Mahera alishiriki chafuzi zote za uchaguzi chini ya Dr. JPM hivyo akipewa jukumu la kudhibiti uchaguzi wa 2025 usivurugwe anajua mbinu zote chaguzi safari hii ziwe safi.

Pia IGP Camillus Wambura naye kupewa cheo hicho ni kuwa anajua jinsi ya kuzuia jeshi la polisi lisirudie mambo ya awamu ya mwendazake kutumika vibaya.

Pamoja na hayo kuwa 'ukitaka mchawi' asimfanyie ubaya mwanao kama ndiyo staili ya Rais kuhakikisha haki na demokrasia itendeke 2024 na 2025 lakini bado nina mashaka kama Tomaso hadi tuone uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 ndiyo nitaamini kuwa staili ya mchawi kupewa majukumu itakuwa salama ya Tanzania na nchi yetu kuondokana na aibu na fedheha ya uchafuzi uliofanyika 2020 chini ya legacy ya JPM.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Hivi viapo ni usanii mtupu.
Yaani huyu alie haribu uchaguzi wa 2020 bado ana pewa nafasi ya kulitumikia Taifa hili? Mambo ya aibu kabisa. Badala ya kuwepo Segerea magereza ati ana apa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Foolish decision.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Kinarawwa wizi wa kura anapelekwa tamisemi asimamie wakurugenzi waibe kura chaguzi zijazo
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Mhalifu mwingine tena apata uteuzi. Kile kikaragosi cha Masoud Kipanya cha chatu na mbwa kinazidi kutufikirisha tena na tena.
 
Leo maneno kama ni wakati wa wavaa kobazi, hivi wanaofaa ni dini moja, wakati wenu masheikh ubwabwa, wazee wa madrassa hapa huwezi kuyasikia kabisa
 
Back
Top Bottom