demolisher
Member
- Apr 11, 2011
- 37
- 100
Akasimamie uchaguzi was serikali za mitaa 2024!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyoooo unamkana mjumbe wa halimashauri kuu ya chama chako jamanii. Haaaaaa haaaaaaaa.Mtu anatoka Marekani kuja kudharau waendesha bodaboda,inaingia akilini kweli?
Kuwa kamanda mwenzangu siyo chanzo cha kufanana mawazo.Kwahiyoooo unamkana mjumbe wa halimashauri kuu ya chama chako jamanii. Haaaaaa haaaaaaaa.
Ambaye hataki KUWAONA bodabodaa waliolaaniwa ila anapenda kuwatumia kwenye misafaraa yaake . Duuuuuuh umemchukia Tena kamanda mwenzakoo.
Dr. Mahera?! Hii ni kati ya teuzi mbovu kabisa za Samia.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Umeshaaa asiiii, ngoja makamandaa ucharaa wenzio wakuvue ukamandKuwa kamanda mwenzangu siyo chanzo cha kufanana mawazo.
Huu ni uteuzi wa Tiss , mama alipewa jina tu asomeDr. Mahera?! Hii ni kati ya teuzi mbovu kabisa za Samia.
Kwa halijui jina au?Huu ni uteuzi wa Tiss , mama alipewa jina tu asome
Subirini Mahera akapange mipango ya Uchaguzi wa serikali za mitaa 2024!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Subirini nyundo za uchaguzi wa serikali za mitaa, Mahela ndiyo fundi wa hiyo kazi maalumu!Kuapishwa kwa Mahera kwenye Cheo kipya ni moja ya mambo ya kudhalilisha mno Taifa
Walipingwa mitume sembuse raisKwahiyo unapinga maamuzi ya raisi?
Mungu si AthumaniSubirini nyundo za uchaguzi wa serikali za mitaa, Mahela ndiyo fundi wa hiyo kazi maalumu!
Ngoja nimwambie lemaWalipingwa mitume sembuse rais
Anayeshughulikia Afya, amechukua nafasi ya Dkt. Grace Maghembe aliyehamishiwa Wizara ya Afya.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 11 Machi 2023 amemuapisha Dkt. Wilson Mahera Charles kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Ikumbukwe kabla ya kuteuliwa kuwa Naibu Katib Mkuu TAMISEMI Dkt Mahera alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
View attachment 2546022
Inapendeza sana kuwa hivyo.Umeshaaa asiiii, ngoja makamandaa ucharaa wenzio wakuvue ukamand