Rais Samia amuonya Mchengerwa

Mchengerwa kaoa binti yake,hawezi kumtimua hata kidogo.
 
Kwa hili sawa, Halmashauri nyingi ,kwanza hawalipi stahiki za wafanyazi, kuna watumishi kibao wanadai stahiki zao , mfano likizo, kupandishwa vyeo , Wakurugenzi wapo tu kama midoli.

Nafikili TAMISEMI chini ya mchengerwa moja iwachukulie hatua kali wakurugenzi wa wenye ujinga huu ambao ni wengi.

Pili Tamisemi chini ya Mchengerwa ifutilie mbali ajiri pisi kali kwenye Halmashauri zetu , hizi pisi kali zikishawateka wakurugenzi na wakuu wa idara yanakua mazezeta.

Funga kazi fukuza wakurugenzi kwenye Halmashauri na nchi nzima ,hamna kitu pale.

Meisho Mchengerwa hii wizara imekushinda jiuzuru
 
Mh rais yupo sahihi
 
Scripted onyo hilo. Walishajadiliana walipokuwa wanakula vipopoo vya futari kuwa nitakupiga biti, usishtuke mkwe.

Inasemekana Mwenye Kifua Kipana kavuta Bi Mdogo mwingine. Mtoto wa Maza kachukia .... atakuwa anatafitiwa sababu ya kuonyeshwa nani ni nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…