Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - KikweteKwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Mahe?Zugu kunu shiiiiii!!!!
Safi sanaLicha ya Kuomba kwako radhi umeonekana huna maana si kitu, mtu mzima ovyo na umetangaziwa vita rasmi.
Ndugai watu wanachukulia Simple Bunge sasa ni wakati wako kushirikiana na wabunge mliotaka atawale kipindi cha mpito.
Anzeni Kujiandaa, hii ni vita ya kufa na kupona, ukiachia ubunge unakuwa helpless
Hivi wakimvua uanachama tu imeisha? Hivi ni mwepesi hivyo bora hata jaji mkuu?Asisubiri aibu!
Hivi unajua Madaraka ya Rais wewe?Mama akiamua anavunja bunge shughuli inaishia hapoYaani Ndugai aache umama aiminye Serikali
Robo tatuKuna uwezekano mkubwa nusu ya Wabunge wa sirudi bungeni 2025
Msamaha ni kukili nakuomba radhi...sio usani wa kusema umenukuliwa vibayaMipasho kwa aliyekuomba msamaha?
Mama analake jambo...
Tatizo watu wengi mnakurupuka hamjui mambo Ndugai akianza chokochoko bungeni Mama anavunja bunge na shughuli inaishia hapo jamani Watz mbona hampendi kujisomea mkazijua sheria?Aacha uzembe atumie nguvu zake, kasemwa sana
Sukuma gang ni nini? Chama cha siasa au kitu gani?Sukuma gang hatukuwahi kusupport bandari ya Bwagamoyo.
Japo Samia amekereka lakini madhaifu ya katiba yetu yanazidi kuonekana bayana.
Ndugai alinywe mwenyewe viva sukuma gang.
Ndio hapo tunaona umuhimu wa Katiba mpya. Kwa katiba tuliyonayo Ndugai hana ubavu anyamaze tuu asubiri astaafu ale kiinua mgongo chake. Rais wa Tanzania ni mungu mtu.Hivi unajua Madaraka ya Rais wewe?Mama akiamua anavunja bunge shughuli inaishia hapo
Yaani mkuu umenivuruga balaa...! Sasa kama Tozo inaweza kulipa deni halisi na interest yake juu, kwa nini tukakope!!
Kwani na wewe ni mwamamke?Aisee she is a tough one
Heavy blows
#Kataa wahuniSukuma gang ni nini? Chama cha siasa au kitu gani?