Rais Samia amvaa Ndugai. Asema, "Huwezi kuamini mtu mzima ana-argue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3"

Pamoja na yote kuhusu mikopo na tozo, ile kusema nchi itapigwa mnada ni kosa kubwa, Ina maana kwamba rais anauza nchi. Hakuna rais au kiongozi yeyote atakayeambiwa anauza nchi yake akubali. Vile vile kauli ya kuwa nchi itapigwa mnada ni uchochezi hasa inapotolewa na kiongozi anayetokana na chama tawala.
 
Magufuli hakukopa?,..
We jamaa unaongea nosense [emoji23]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Thread 'Huenda adui Mkuu wa utawala wa Rais Samia akawa ni Spika Ndugai?' Huenda adui Mkuu wa utawala wa Rais Samia akawa ni Spika Ndugai?
 
Uhuru wa kutoa maoni, mama ajibu hoja sio mambo ya utu uzima, hoja ijibiwe Kwa hoja, tuache kupindisha na kukimbilia kujiudhuru huyu Wala yule, jibu hoja, sema mama nae hajiwezi tu kwani ukiwa mtu mzima ndo huhoji?
 
Kwakweli baada ya kuomba msamaha sikutegemea mtu mwingine aje na hii hii agenda...Huu si uungwana...Kama mtu kakosea na ameliona kosa lake ni busara kumwelewa na kusonga mbele
Itakua aliomba msamaha baada ya kutonywa kuhusu mkutano wa leo. Na ndo maana hata hakuhudhuria,,
Aliomba msamaha kinafig

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu atakopa aseme mkopo huu mbaya? Yeye kakopa lazima aseme katika mikopo yote mkopo huu wa tri 1.3 ndiyo mzuri zaidi.
 
Mjomba hasira unajua inauma mtu unaemuamini halafu anakujakukusaliti na kuongea uwongo ili akuchafue uwonekane ufahi kwenywe jamii hivi kama yule mjinga pole pole kusema serikali hii ni ya mpito nawewe ndie boss wake utamchukuliaje kwa ufupi waache dharau
 
Nakumbuka siku kinana anaomba msamaha,, lakini spana zikaendelea za akina musiba[emoji851][emoji851]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi huwa mnadhani nani atatuletea katiba?.


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu atakopa aseme mkopo huu mbaya? Yeye kakopa lazima aseme katika mikopo yote mkopo huu wa tri 1.3 ndiyo mzuri zaidi.
Kumwamini mwanakijani ni sawa na kuamini maji kupanda mlima "naturally".
Jiwe alisema "tunajenga kwa pesa yetu ya ndani" huku Chief Hang Higher akisisitiza kwa kutikisa kichwa.
Leo anakiri ni mikopo kwenda mbele.
 
Kumwamini mwanakijani ni sawa na kuamini maji kupanda mlima "naturally".
Jiwe alisema "tunajenga kwa pesa yetu ya ndani" huku Chief Hang Higher akisisitiza kwa kutikisa kichwa.
Leo anakiri ni mikopo kwenda mbele.
Ajabu Sana. Anakopa na tozo juu
 
Ukweli mtupu huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…