Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ogopa sana akina mama walio katika upali hawana dogo!Na anadhihirisha yupo tayari kufanya lolote kwa ajili ya 2025
Ila pia nimeona mama sio mvumilivu. Alishamjibu ndugai siku ile, angeachana nae tu
Tambala machimu!Shiii bhaghoshaaaa!!!!
Ndugai kama anajua kupima mambo. 2025 wala asijaribu kugombea ubunge…kinyanganyiro cha kura za maoni ndio itakuwa mwisho wake!!Kwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Ndugai na kundi lake limedhamiria kumyumbisha mamaKwa hotuba ya leo ya Samia kama Ndugai asipojiuzulu basi hana akili timamu na anatumikia tumbo lake tu. Samia amesema wazi kuwa kilichomsukuma Ndugai kupinga mikopo ni Uchaguzi Mkuu wa 2025. Aidha amesema wale wote wanasioweza kwenda pamoja na yeye katika kuwaletea wananchi maendeleo atawaondoa katika serikali ya ili wapate muda wa kutosha kujiandaa na uchaguzi wa 2025!
Yaani Ndugai aache umama aiminye SerikaliHapa sasa taifa liongozwe kwa sheria na sio urafiki na undugu wa kugushi.
Hapa kila mtu ashinde mechi zake
Hao wabunge wajiandaee tu, badala ya kulamba miguu wachague mahala sahihiLicha ya Kuomba kwako radhi umeonekana huna maana si kitu, mtu mzima ovyo na umetangaziwa vita rasmi.
Ndugai watu wanachukulia Simple Bunge sasa ni wakati wako kushirikiana na wabunge mliotaka atawale kipindi cha mpito.
Anzeni Kujiandaa, hii ni vita ya kufa na kupona, ukiachia ubunge unakuwa helpless
Ampe vitasa huku akishushia na maji ya uhai!🤣🤣🤣Mkuu huujui ugomvi wa wavaa madela wewe, wana nongwa hatari. Huyo anatamani hata akutane naye live ampe vitasa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sukuma gang ni maharamiaRais Samia Suluhu Hassan amesema ni Uhuru wa Mtu kusema chochote, lakini inashangaza Mtu anayetegemewa kushirikiana na Serikali kwenye safari ya maendeleo 'kuargue' kuhusu Tozo na Mkopo wa Trilioni 1.3 kwasababu taarifa zote za Uchumi zinapita kwake akisema, "Ni homa (fever) ya 2025, wasameheni"
Ameongeza, "Huwezi kuamini mtu mzima na unaenda kuargue tozo na mkopo wa Trilioni 1.3 kama kwamba ndio kwamba inatokea Tanzania wakati toka tunapata Uhuru ni Mikopo kwenda mbele. Na katika Mikopo yote huu ni mkopo mzuri zaidi"
AJIUZURU AACHE KUWA KING'ANG'ANIZIToa ushauri wako kwa Mzee wetu Jobb Ndugai,,
Ni baba na Mzee wa familia.Hakuna alie kamilika ususan ukiw ahai.
Neno la busara kwa Mzee wetu..
Mama leo amepiga kwenye mshono.
Ndugai leo 'kavuliwa nguo' na jana alijisahau 'akavua nguo yake ya ndani', sasa leo hana nguo kabisa!!!
Ndio maana namtaka Spika apige tit for tat... Waanze na kuhoji Awamu hiyo kazi ampe PolePoleHii vita spika akiamua kupambana atashinda isitoshe huyu maza hakubaliki popote walio wengi washaona ni mweupe na anatuuza.